JULIUS MKANYIA
Member
- May 8, 2012
- 29
- 4
Naomba msaada Wana JF wa kufahamu jinsi zinavyotengenezwa BAGIA za Dengu na Kunde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAHITAJI
KUNDE nusu kg
pilipili kiasi
karoti 3 kubwa
hoho
kitunguu
hamira kidogo kama robo kijiko
unga wa ngano vijiko vitano
hiliki
kitunguu swaumu
1.Loweka kunde like lets say usiku thn kupika upike kesho yake
2.kata vitunguu,hoho,karoti kwenye umbo la cubes za mraba
3.twanga au blend kunde (unaweza kutoa maganda au ukasaga pamoja)
4.changanya viungo vyoooote kisha weka hamira na ngano mwishoni
5.tengeneza madonge madogo madogo kulingana na kiasi unachopenda
6.bandika mafuta yachemke kisha anza kukaanga
7.acha mpk ziwe kahawia
ANDAA!na juice poa,chai poa,maziwa mwake basi mradi raha
cc Kaunga
hahahahahhahaha kuhusu Mkirua huyu itabid nikufundishe ule mtori wa ndizi na maghimbi