Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Askofu Dkt. Bagonza
HONGERA CHADEMA, lakini.……
Mkutano wenu umeonyesha haya:
- Chadema ina mashabiki wengi kuliko wanachama. CCM ina wanachama wengi kuliko mashabiki.
- Kazi ya Chadema ni kubadili mashabiki kuwa wanachama, na ya CCM ni ya kuongeza mashabiki bila kupoteza wanachama. Msichukiane, msipendane, msimalizane bali mjifunze kuishi na hali msiyoweza kuibadilisha.
- Wanachama wanapenda kuchagua viongozi wao. Hujuma kutoka kwa wapinzani wenu zina nguvu sawa na hujuma za kutengeneza wenyewe. Jilindeni na chachu ya ubaguzi, ukanda, U-wenyewe na ubabe. Haya ni mabaya mkiyaona kwa watani wenu; hayawezi kuwa mazuri ndani yenu.
Mungu Ibariki Tanzania.
HONGERA CHADEMA, lakini.……
Mkutano wenu umeonyesha haya:
- Chadema ina mashabiki wengi kuliko wanachama. CCM ina wanachama wengi kuliko mashabiki.
- Kazi ya Chadema ni kubadili mashabiki kuwa wanachama, na ya CCM ni ya kuongeza mashabiki bila kupoteza wanachama. Msichukiane, msipendane, msimalizane bali mjifunze kuishi na hali msiyoweza kuibadilisha.
- Wanachama wanapenda kuchagua viongozi wao. Hujuma kutoka kwa wapinzani wenu zina nguvu sawa na hujuma za kutengeneza wenyewe. Jilindeni na chachu ya ubaguzi, ukanda, U-wenyewe na ubabe. Haya ni mabaya mkiyaona kwa watani wenu; hayawezi kuwa mazuri ndani yenu.
Mungu Ibariki Tanzania.