habar madaktari na wauguzi wa JF,
Nina shida ya meno yangu ya mbele kw pembeni, ya juu na ya chini kuwa marefu kama ya mnyama anaye kula nyama[canviorus] kias kwamba yana ninyima balansi ya taya zangu.inatokana na nn na nifanye nn ili yawe sawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.