Kila sehemu kuna mazungumzo yake.Umekula lakini?
Bahari imechafuka. Hata wenye maji mdomoni wanataka kuongea na kuwasemea wengine.Pole sana n'jomba, kuchapiwa ni siri ya ndani hata uwe na misuli kama Bahari
Utaelewa ukiona michango wa waungwana humu.Fafanua ndugu
Mkuu sema haraka kama sisi tusiokuelewa tuhame nchi kabisa.ππππUtaelewa ukiona michango wa waungwana humu.
NimeshakuelewaBahari imechafuka. Hata wenye maji mdomoni wanataka kuongea na kuwasemea wengine.
Bahari,imechafuka ila hivi punde bahari itaonya,tena itawaonya walio majini na ardhini.
Siyo kila Bangi unayoiona unaivamia tu.Haiitwi Bahari bila maji,kutokana na Maji kila kitu kikawa hai. Naam nasema tena kikawa hai.
Tunaambiwa Baharini kuna jinsi ya viumbe vingi sana kwa idadi kushinda huku bara. Naam tena wengi hasa....
Kila sehemu kuna mazungumzo yake kijana.Siyo kila Bangi unayoiona unaivamia.
Unataka kueleza kwamba gugu alilotumia ni very genuine hata India huwezi kulipata mkuu.ππππSiyo kila Bangi unayoiona unaivamia tu.
Aliyekosoa na yeye amekosea kukosoa.Unataka kueleza kwamba gugu alilotumia ni very genuine hata India huwezi kulipata mkuu.ππππ
Tueleweshe mkuu.Akili zetu ni nyembamba kama tishu.Na hata hivyo tumetoka safari ya mbali tumevimba mapaja na miili inatetemeka.πππππAliyekosoa na yeye amekosea kukosoa.