Bahari imechafuka

Bahari imechafuka

Haiitwi Bahari bila maji,kutokana na Maji kila kitu kikawa hai. Naam nasema tena kikawa hai.

Tunaambiwa Baharini kuna jinsi ya viumbe vingi sana kwa idadi kushinda huku bara. Naam tena wengi hasa.

Kupitia Baharini, vyombo vikubwa huambaa na kubeba shehena ya mizigo mingi na mikubwa kuzidi njia nyingine yoyote. Huu ni ukweli usio na shaka.

Ila hakika hali wa shani hivi punde Bahari itaonya. Nasema tena Bahari itaonya.

Sasa Bahari imechafuka.
Ushapata cha asubuhi lakini?
 
Pale mzenji anapoacha urojo na kushobokea bange hik ndo kinacho mkuta
Kiasili mimi ni mtu wa kaskazini mwa Tanzania,tena kule milimani.

Sijawahi kuvuta bangi wala sitakuja kuvuta bangi kwa uwezo wa Mola mlezi,muweza wa yote.

Kuhusu urojo,nimekunywa/kula mara mbili tu na si zaidi katika maisha yangu,ni katika vyakula bora mno.

Bahari imechafuka.
 
Bahari hiyo hapo, hadi samaki kaibuka toka baharini, kweli bahari yachafuka.
FB_IMG_1625496401959.jpg
 
Kiasili mimi ni mtu wa kaskazini mwa Tanzania,tena kule milimani.

Sijawahi kuvuta bangi wala sitakuja kuvuta bangi kwa uwezo wa Mola mlezi,muweza wa yote.

Kuhusu urojo,nimekunywa mara mbili tu na si zaidi katika maisha yangu,ni katika vyakula bora mno.

Bahari imechafuka.
Fungua code tukuelewe
 
Fungua code tukuelewe

Code yoyote hapo,ni kukosa umakini tu.

Kwa jinsi nilivyo nikisema niandike "code" hutaambulia chochote zaidi ya kujua mjengeko wa neno fulani umejengwa kwa herufi gani basi.

Itazame uzuri bahari na ilivyo vibeba,kisha ilinganishe na mchafuko,ila kaa ukijua bahari huwa inatema isivyo vitaka na kuvitoa nje.
 
wapo wanaoponda lakini mleta mada ana fasihi nzito sana, nahisi kuna ujumbe mkubwa sana hapa na pengine mwenzetu huyu ameshaona kitu kikubwa mbele yetu.
 
Back
Top Bottom