Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushapata cha asubuhi lakini?Haiitwi Bahari bila maji,kutokana na Maji kila kitu kikawa hai. Naam nasema tena kikawa hai.
Tunaambiwa Baharini kuna jinsi ya viumbe vingi sana kwa idadi kushinda huku bara. Naam tena wengi hasa.
Kupitia Baharini, vyombo vikubwa huambaa na kubeba shehena ya mizigo mingi na mikubwa kuzidi njia nyingine yoyote. Huu ni ukweli usio na shaka.
Ila hakika hali wa shani hivi punde Bahari itaonya. Nasema tena Bahari itaonya.
Sasa Bahari imechafuka.
Delta VariantNimeelewa sana, na bahari ikianza kuonya ndio utakuwa mwisho wa mwanzo.
Kiasili mimi ni mtu wa kaskazini mwa Tanzania,tena kule milimani.Pale mzenji anapoacha urojo na kushobokea bange hik ndo kinacho mkuta
Fungua code tukueleweKiasili mimi ni mtu wa kaskazini mwa Tanzania,tena kule milimani.
Sijawahi kuvuta bangi wala sitakuja kuvuta bangi kwa uwezo wa Mola mlezi,muweza wa yote.
Kuhusu urojo,nimekunywa mara mbili tu na si zaidi katika maisha yangu,ni katika vyakula bora mno.
Bahari imechafuka.
Fungua code tukuelewe
😆😆😆😆 noma sana ExtrovertBahari hiyo hapo, hadi samaki kaibuka toka baharini, kweli bahari yachafuka.View attachment 1843996