Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ila tuache utaniZingatia kula vyakula vya asili achana na machips sijui mapizza huko mara maburger ....
Zingitien vyakula sana.hata kama maisha yanchangia lkni chakula kiwe mkombozi kwa % fulani.
ha ha ha naomba nikuulize swali,kazi kubwa ya hiyo naniiii ni ipi?Ila we kwa ngono hujambo
Wanasema ukiwa karibu na bucha,hamu ya kula nyama upoteaDr. Vipi huko hosptl unakula tu
UleteKikao kijacho cha mabaharia nitaleta mswaada binafsi kupitisha huu utafiti wangu kuwa sheria kamili.
Hapana bana,, bucha la nyama ya kukuWanasema ukiwa karibu na bucha,hamu ya kula nyama upotea
ha ha ha bucha ni bucha tuHapana bana,, bucha la nyama ya kuku
Ivi mkuu unacheza na ya chiken[emoji86]ha ha ha bucha ni bucha tu
Labda wawe wa kienyeji mkuuIvi mkuu unacheza na ya chiken[emoji86]
Hata iki fail leo nmechoma vya kutosha I've got nothing to loseUkiingia miaka 40+ utaanza kuona tatizo
Kukojoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha ha ha naomba nikuulize swali,kazi kubwa ya hiyo naniiii ni ipi?
IlishindikanaUngemsaidia kuiamsha,angalau amalizie nusu mechi
Jitahid ule mara chache mno..Ila tuache utani
Chicken pizza ni tamu sana, sijui naiachaje
Mara mbili kwa week itapendeza ?Jitahid ule mara chache mno..
Ukiendekeza utashindwa kuliwakilisha taifa ipasavyo
Kuwa na hela na kuwa na nguvu za kiume ni inversely proportional.....the more the money the lesser the.....and viceversa is trueKama kila siku utafanya inabidi lishe iwe bora,pia misongo ya mawazo kuhusu kipato uwe umeuweka sawa.
huu utafiti umeufanyia wapi mkuuKuwa na hela na kuwa na nguvu za kiume ni inversely proportional.....the more the money the lesser the.....and viceversa is true
Waulize wanawake ndo wanajuahuu utafiti umeufanyia wapi mkuu
mkuu nawe ni ke nidokeze kidogo huenda tunafichwa na wake zetu then tunajiona vidume kumbe laWaulize wanawake ndo wanajua
ha ha ha nafsi yako inakushtaki kwa kudanganyaKukojoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]