Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serious mkuu, niliona kupitia sim yako ya mkononi unavyo comment humu ndani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muone
Acha hizo dogosichati na wewe kama sina la muhimu la kukwambia
sijibu msg yako kama hatuna mazoea ya kuchat
i only accept CALLS naheshimu hilo sana ila sio txt
naepuka vingi we hujui tuAcha hizo dogo
Ufala upi mkuuachaga ufala jamaa 😎
Kipenzi nikuambie kitu🙊!nahamu na wine😋
Unamaanisha nini kusema au
Dooh!Serious mkuu, niliona kupitia sim yako ya mkononi unavyo comment humu ndani.
By the way, you are one of the beautiful Ke from Jf
Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.
KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu.
Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''
Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie mada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.
"mwambie simu unakata chaji"
"Babe,,, Ntakucheki dk 0 network inazingua"
"Oya kuna simu ya dingi inaingia"
View attachment 1256415
😁😁😁Dawa ni moja tu, kama huna pesa,usitongoze demu.
Makinisichati na wewe kama sina la muhimu la kukwambia
sijibu msg yako kama hatuna mazoea ya kuchat
i only accept CALLS naheshimu hilo sana ila sio txt
usiniambie ushamfumania yna2 kwenye mwendokasiSerious mkuu, niliona kupitia sim yako ya mkononi unavyo comment humu ndani.
By the way, you are one of the beautiful Ke from Jf