Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Then he died.We never surrender we win or we die
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then he died.We never surrender we win or we die
Hahahahahhq kirahisi hivyo baharia asiye na shule ya ubaharia wanakuwa vibarua tu kugonga kutu kwenye meli hawa sio maafisa wa navigation....kazi zao ngumu engine room huko au kugonga kutu....sikia tu...sheria hairuhusu wakifika destination port siku 3 kwanza wanashuka casino....nakumbuka biashara ya mabaharia iliharibiwa na wafanyakazi toka burma huko na asia kwa ujumla....bei zao ndogo sana na wako wengi sanaa.....meli nyingi zinachukua huko bei poa....wao.wanataka wali tu na posho kidogoUpweke wa vipi tena? Baharia mzima atakosaje milioni zake kadha za kumpa dem wa kizungu na kutembea nae melini popote aendapo? Au Sheria haziruhusu?
Nimekupata sanaa baharia....wafilipino na burma wameharibu sanaa biashara hiyo mabaharia..Dah Baharia tena anajinyonga?
Siku hizi melini hakuna stress kama zile zama za zamani unakaa kwenye mnemba hata 6month, siku hizi makampuni yanayojielewa umekaa sana melini 3 month.
Siku hizi meli za kisasa hazichukui siku nyingi sanaa port to port kama miaka yetu ya ubaharia.
Ukiyakubali maisha ya kibaharia na ukiwa kwenye shipping line za kueleweka hakuna stress maana hela ipo chuma likiwa ankorage mnashuka tu kwenda kutafuta malaya uraiani, nchi kama phillipine pale Manila na Greece malaya wanakuja wenyewe na viboti out-ankor kuwachukua.
Siku hizi crews Wafilipino, wahindi, waarabu wameharibu sana kazi na hata shipping line za Saudia, India, UAE, Iran nk changamoto sana Baharia anaweza kukaa melini miezi hata sita, mshahara, allowance changamoto.
Huyu hajajinyonga. Na asili ya hio kampuni ya .meli inazidi kuleta ukakasi kuwa kajinyonga.Uwezekano wa kuwa amenyongwa upo na ni mkubwa.
Asante kwa elimu nzuri imeleta mwangazaHahahahahhq kirahisi hivyo baharia asiye na shule ya ubaharia wanakuwa vibarua tu kugonga kutu kwenye meli hawa sio maafisa wa navigation....kazi zao ngumu engine room huko au kugonga kutu....sikia tu...sheria hairuhusu wakifika destination port siku 3 kwanza wanashuka casino....nakumbuka biashara ya mabaharia iliharibiwa na wafanyakazi toka burma huko na asia kwa ujumla....bei zao ndogo sana na wako wengi sanaa.....meli nyingi zinachukua huko bei poa....wao.wanataka wali tu na posho kidogo
Hakuna msomali anaitwa Fadhili.Huyo ni mchagga mmachame au mpareMsomali aliyezamia Tanzania
Haiwezekani uholanzi ama EU na uingereza wako transparent sana.Uwezekano wa kuwa amenyongwa upo na ni mkubwa.
Kazi siku hizi imekuwa siyo kabisa labda upate makampuni ya maana hasa, North American au Nordic poa.Dah Baharia tena anajinyonga?
Siku hizi melini hakuna stress kama zile zama za zamani unakaa kwenye mnemba hata 6month, siku hizi makampuni yanayojielewa umekaa sana melini 3 month.
Siku hizi meli za kisasa hazichukui siku nyingi sanaa port to port kama miaka yetu ya ubaharia.
Ukiyakubali maisha ya kibaharia na ukiwa kwenye shipping line za kueleweka hakuna stress maana hela ipo chuma likiwa ankorage mnashuka tu kwenda kutafuta malaya uraiani, nchi kama phillipine pale Manila na Greece malaya wanakuja wenyewe na viboti out-ankor kuwachukua.
Siku hizi crews Wafilipino, wahindi, waarabu wameharibu sana kazi na hata shipping line za Saudia, India, UAE, Iran nk changamoto sana Baharia anaweza kukaa melini miezi hata sita, mshahara, allowance changamoto.
Mtanzania baharia aitwaye Fadhili Mohamed Omar amefariki akiwa kwenye meli nchini Uholanzi baada ya kujinyonga.
Kwa mujibu wa taarifa marehemu alikua ni mwenyeji wa mji wa Moshi, mkoa wa Kilimanjaro.
![]()
Tanzanian Sailor alleged to Commit Suicide aboard a ship in the Netherlands
Reports which were made available to The Tanzania Times over the weekend indicate that the late Fadhil Omar had hanged himself in the Rawabi ship’s cabin as the vessel docked at the Port of Rotterdam.tanzaniatimes.net
Baba yake ni mtu wa Mombasa,Mama yake ni Mtu wa Arusha. Huyu alizaliwa Tanzania na amekulia Hapa hapa Tanzania. Hilo jina la ukoo ni upande wa Mama yake MzaziHakuna msomali anaitwa Fadhili.Huyo ni mchagga mmachame au mpare
Ilikuwa UAE, ni mwaka jana. Mtoa taarifa kuna taarifa kakoseaHizi taarifa chanzo chake ni kipi?
Juzi taarifa kama hii hii inasema Kajinyonya Sweden kwenye meli, leo inasema Uholanzi.
Wote ni wenyeji wa Moshi wenye majina yale yale.
Usahihi wake ukoje?