cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mzee tupa tupa!! WoiiiiihHuyu jamaa kazingua Sana lakini tuheshimu maoni yake lakini ukweli utabaki kua ukweli Rose Muhando ndiye mwimbaji na mtunzi Bora wa Gospel Kwa wamama tangu Tanzania ianze..
Kuna Ngoma za Rose ambazo zikipigwa hata sasa hivi utatamani kuokoka...
Hebu leta Ngoma za bahati bukuku zenye utunzi maridadi kuliko hizi za Rose hapa Chini...
Nipe uvumilivu
Wanyamazishe
Nakaza mwendo
Mteule uwe macho
Yesu Nakupenda
Si Salama
Mapambio
Raha
Hatumo
Nibariki
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Rose atabaki kua legend Hadi kiama. Huwezi mlinganisha Zinduna na Mzee tupatupa