Haisimami mpaka Stendi......!Hahahhahaa nimeimagine nimeshindwa[emoji23][emoji23][emoji16]vichambo wasap hahahaha...jaman jaman dunia simama nishuke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haisimami mpaka Stendi......!
Aiseeh, I feel pity for her kwa aliyopitia.
aliteseka sana sana hasa kupoteza watoto..huyo Dany hata mm alikua ananitaka[emoji58][emoji58]..enzi bado kbs kabinti..lol..alikua ameungua mdomo kbs..pyee!anaimba vzr sana Bahati. nampendaga
Inaruhusiwaadoption hairuhusiwi bongo.
Ni ww! Mbona umekuwa Mkali hivyoaache unaa anashindwa wasitiri wachungaji mbona wao wanayo mengi ya ovyo tu
Mane
Unaachia siri balaa
Wanga wataunganisha dots watakupata!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mi nshakusoma.πππ By then nilikua mdogo mdogo nasoma..kwanza siishi huko..hahaha...we only live once..dadek zao .hhha
mi nshakusoma.
Anakula karanga huyo Bahati Bukuku!Inajulikana!Walipanga kwetu goig..kila sk ilikua mshike mshike..waliachania hapo goig..dan alikua ana dalili zote kuwa mgonjwa..ni muda ingawa..nadhan ilikia 2004/5!shoga kang'aa
aache unaa anashindwa wasitiri wachungaji mbona wao wanayo mengi ya ovyo tu
Haya mambo mm nilikua nasikia dada zangu wanamuongelea Dan .wakt ule alikua hajifichi..alikua dhoofu na red lips..sijjui siku hiz yu wap!mhh Mungu awape maisha marefuAnakula karanga huyo Bahati Bukuku!Inajulikana!
Gwaji ni askofu sio Mchungaji usi muanderate, yeye ni advanced level....mauno yale kwa Wachungaji wanasubiri, mpaka nao wafikie uasikofu.Anauza mikorogo na ndugu yake.wamejichubua balaa.
Ila nikikumbuka jinsi gwaji boy alivokuwa anamgegeda Yule dada vizuri natamani wachungaji na mie
Najaribu......... Fungua hizi codes. Opio(madam) hill crest. Calvin, ochieng, Silvia. Mbogo. Kama hujaelewa kitu hapo basi si wewe.. Mchana mwema MinerHuwez
hahahaha..hata bahat mwenyew hawez nikumbuka wala dan..coz nilikua nado kisichana..loo
hii nimeichukuaGwaji ni askofu sio Mchungaji usi muanderate, yeye ni advanced level....mauno yale kwa Wachungaji wanasubiri, mpaka nao wafikie uasikofu.
Najaribu......... Fungua hizi codes. Opio(madam) hill crest. Calvin, ochieng, Silvia. Mbogo. Kama hujaelewa kitu hapo basi si wewe.. Mchana mwema Miner
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Gwaji ni askofu sio Mchungaji usi muanderate, yeye ni advanced level....mauno yale kwa Wachungaji wanasubiri, mpaka nao wafikie uasikofu.
The big girl is purely immature!What the hell with "baba mchungaji kumtongoza"?Kipi kipya?Mchungaji huwa hana moyo wa kupenda?Mumuambie aache ujinga wa kujiachia kuongea "ungedere" wake.To hell with her baritone kinda voice!ππππππMwimbaji nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania amesimulia kisa chake ambacho alitakwa kimapenzi na baba mchungaji.
Akiongea na kituo cha redio mkoani Mbeya Bahati Bukuku amesema baada ya ndoa yake kuwa mashakani alimfuata mchungaji ambaye alimtisha kuwa haruhusiwi kuolewa bali asubiri mpaka kifo kiwatenganishe na mumewe. Bahati Bukuku anasema miaka mitatu baada ya ndoa yake hiyo kukumbwa na mtanziko mchungaji huyo alimpigia simu na kumtaka kimapenzi. Bahati alimjibu mchungaji huyo kuwa aendelee kusubiri maana bado kifo hakijamtenganisha na mumewe.