Bahati Bukuku: Nilitongozwa na Baba Mchungaji

Alio wapa mbona hasemi?[emoji44][emoji12]
 
Habari zote za mujini unazo..khaa
Namjua wkt huo alikuwa hajawa star
Alipewa hifadhi kwenye hyo familia
Na hyo familia mjanjaa wao ndy nlikuwa mm
Walikuwa wakiniona Wanajua mipango inakjaaa [emoji23][emoji23][emoji23].....

Ova
 
Maskini.... Bora aendelee kujifariji na nyimbo za injili.... Moyo wa mtu kichaka...
Siyo kichaka ni msitu mnene, yawezekana alikuwa anamsaidia mchungaji kwa alivyomkatalia [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwahiyo bahati bado haja olewa ?
Personally nawafahamu bahat na munewe Huyu dada alipata shida maskini na yule Dany..dany alikua hajatulia jaman alafu naaminj 100% Dany alikua mgonjwa...!wanae wawili alijjfungua wanafariki ... Sijui Dan alihamiaga wap
 
manengelo kwani bwana dani aliugua nini? Maana bahati ni shemeji kwa rafiki yangu
Sina hakika sana bwana boss..tuishie hapa
Obviously ni ngoma akiugua malaria baba mtoto hawezi kufa even sukari haiwezi kuwa sababu ya kifo cha mtoto ngoma ndiyo ina mchezo huo cha kufanya wewe mtonye mwana mwambie atakufa siku siyo zake yaweza kuwa too late ila ndo hivyo.

Ngoma haipimwi kwa apperiance ya mtu au anaimbaje lile dude ni habari ingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…