Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Obviously ni ngoma akiugua malaria baba mtoto hawezi kufa even sukari haiwezi kuwa sababu ya kifo cha mtoto ngoma ndiyo ina mchezo huo cha kufanya wewe mtonye mwana mwambie atakufa siku siyo zake yaweza kuwa too late ila ndo hivyo.
Ngoma haipimwi kwa apperiance ya mtu au anaimbaje lile dude ni habari ingine.
Manengelo bana!We mwenyewe wanauloweka kwako!Dan inajulikana ila nawe ni candidate tu!Usiwaseme wenzio!Yaani kama Dan ni.mzima bas anatumia dawa na zimemkubali sana..!
Manengelo bana!We mwenyewe wanauloweka kwako!Dan inajulikana ila nawe ni candidate tu!Usiwaseme wenzio!
Hakubahatika kupata mtoto na huyo Dany?Personally nawafahamu bahat na munewe Huyu dada alipata shida maskini na yule Dany..dany alikua hajatulia jaman alafu naaminj 100% Dany alikua mgonjwa...!wanae wawili alijjfungua wanafariki ... Sijui Dan alihamiaga wap
Hakubahatika kupata mtoto na huyo Dany?
Ugonjwa ni Siri mkuumanengelo kwani bwana dani aliugua nini? Maana bahati ni shemeji kwa rafiki yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni Wivu tu..demu alinikera sana yule..nilitaman nmchomoe akae kando[emoji23][emoji23] demu limezubaa balaa km limetoka Kinole huko..arghhh..
Mmh siku hizi kuna wachungwaji, hakuna wachungaji tenaaache unaa anashindwa wasitiri wachungaji mbona wao wanayo mengi ya ovyo tu
Ila huyu dada kajichubua khaaa...!!!
Anaimba uzuri kuna baadhi ya nyimbo zake nazipenda.
Kwa mada hii Hata nyimbo zake zinaonesha mahusiano yake, asilimia 80 ya nyimbo zake ni za kulalamika ni kama hakuna anayemuelewa anayopitia....
Walipanga kwetu goig..kila sk ilikua mshike mshike..waliachania hapo goig..dan alikua ana dalili zote kuwa mgonjwa..ni muda ingawa..nadhan ilikia 2004/5!shoga kang'aa
Kwa hiyo unataka kusema Bahati naye ni m....
hapana[emoji28]!mie nachojua D alikua ana dalili nyingi za mafua..kwa Bahati mm bado mgeni
Mbabarila eti eehHahaha huenda anakiongea...hahhaha
View attachment 1159693
Kila anapitia ya kwake, wote tukianza lalamika hakuna vitu vitaenda...
Avumilie tu
Ulivyomkubalia hamkufumaniwa na bahati?aliteseka sana sana hasa kupoteza watoto..huyo Dany hata mm alikua ananitaka😑😑..enzi bado kbs kabinti..lol..alikua ameungua mdomo kbs..pyee!anaimba vzr sana Bahati. nampendaga
Ulivyomkubalia hamkufumaniwa na bahati?
Duh mademu na nyie hupiga puchu !!!Mie bado sijaifuta huwa naipigia puchu