Bahati Bukuku: Nilitongozwa na Baba Mchungaji



Yaani kama Dan ni.mzima bas anatumia dawa na zimemkubali sana..!
 
Kila anapitia ya kwake, wote tukianza lalamika hakuna vitu vitaenda...

Avumilie tu
Ila huyu dada kajichubua khaaa...!!!

Anaimba uzuri kuna baadhi ya nyimbo zake nazipenda.

Kwa mada hii Hata nyimbo zake zinaonesha mahusiano yake, asilimia 80 ya nyimbo zake ni za kulalamika ni kama hakuna anayemuelewa anayopitia....
 
Kila anapitia ya kwake, wote tukianza lalamika hakuna vitu vitaenda...

Avumilie tu


Hahahahaha utamu unavumilika unakuwa unamumunya tuu na kuaikilizia utamu. Ila uchungu yaah....

Uvumilivu ni kipaji.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…