Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Nimemuuliza upo tayari kuolewa na mimi? akasema ndio na kumalizia na msemo" bahati haiji mara mbili". nimefurahi. Kataa ndoa kwaheriniš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenye dau kubwa kapitishiwa mnada." bahati haiji mara mbili".
unamaanisha nini mkuumwenye dau kubwa kapitishiwa mnada.
dua la kuku hilo mkuuKwenye ndoa ni karibu mno kama bao la kwanza utarudi tu , kila la heriš¤
namaanisha kwamba; grenedi limechomolewa pini.unamaanisha nini mkuu
nimekuwa serious na hii ishu huenda nikafanikiwaOa kijana āulale uchi kama kaka zakoā achana na hao wahuni wanaomaliza sabuni za shemeji zao.
Huna maana kama likes za raraa rereeOa kijana āulale uchi kama kaka zakoā achana na hao wahuni wanaomaliza sabuni za shemeji zao.
ššššššššKaribu chamani mkuunimemuuliza upo tayari kuolewa na mimi?....akasema ndio na kumalizia na msemo" bahati haiji mara mbili". nimefurahi.....kataa ndoa kwaheriniš
Kila la kheri,kama umejiridhisha kukubali kirahisi hivyo kuwa anakupenda,maana yeye kuolewa kaona bahati,na hayo mambo ya kupenda kwake yatakuja yenyewe...nimemuuliza upo tayari kuolewa na mimi?....akasema ndio na kumalizia na msemo" bahati haiji mara mbili". nimefurahi.....kataa ndoa kwaheriniš
Sawa lakini umri wako kuelewa nilichoandika hapo juu bado,wewe nitakupa nafasi ya pili kujitafakari.Huna maana kama likes za raraa reree
If I get free milk, why should I keep a cow.Oa kijana āulale uchi kama kaka zakoā achana na hao wahuni wanaomaliza sabuni za shemeji zao.
Usitufokee!!!! Ana tako?nimemuuliza upo tayari kuolewa na mimi?....akasema ndio na kumalizia na msemo" bahati haiji mara mbili". nimefurahi.....kataa ndoa kwaheriniš
waambie haoOa kijana āulale uchi kama kaka zakoā achana na hao wahuni wanaomaliza sabuni za shemeji zao.
Inashangaza sana.waambie hao
wanaogopa sana maisha
ni bora uoe ndoa isambaratike kuliko usioe kabisa