Bahati haiji mara mbili..

nimemuuliza upo tayari kuolewa na mimi?....akasema ndio na kumalizia na msemo" bahati haiji mara mbili". nimefurahi.....kataa ndoa kwaherini😁
Kila la kheri,kama umejiridhisha kukubali kirahisi hivyo kuwa anakupenda,maana yeye kuolewa kaona bahati,na hayo mambo ya kupenda kwake yatakuja yenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…