Bahati inapogeuka kuwa taabu: Watanzania wanaoishi Marekani na Ulaya wanapiga pesa lakini kwenye suala la wanawake wanapata taabu sana

You can not control nature!
Tangu kuwepo kwa Women Empowement,
Wanaume wa kimarekani karibia 42% hawataki kuoa.
sana sana kama kuoa wanaoa, Wanawake wa Asia, Amerika Kusini na baadhi ya wanawake wa Ulaya Mashariki.
Kwa sababu wana maadili zaidi ya kitamaduni, wana shape , na wanazeeka polepole kuliko wanawake wa Malekani.

Sasa wale strong women, usingle ukiwachosha, na wakati umri umewakimbia.wanamehamia kwa vijana wadogo.
Ndio uwepo wa ndoa za vibibi na vijana wadogo.
KWA MLIOKO HUKO NJE HII NI FURSA, TAFUTENI VIBIBI HUKO. WANAIGERIA WAMEFANIKIWA SANA KWENYE HILI
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…