masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
sheikh yahya katuharibu sana ujue MD!
wazee wetu walikuwa nazo orijinale, nowadays zinatengenezwa kama dreads tu!
Ananunua cover ya Simu kabla ya simushake money
unashake ela before use????
Ananunua cover ya Simu kabla ya simu
watoto wa kileo wanakwambia TATIZO NYOTA
Mi nimekutonya kimya kimya, we unapiga yowe, ngoja sasa na mimi nimwage mboga. NyaniNgabu njoo huku kuna mtu kaharibu lugha yetu adhimu.
heri ya xmas
Wana jamii intelligence
Bahati sio neno jipya
tumezoea kusikia misemo kadha wa kadha kuhusu bahati mfano ana bahati nzuri ana bahati mbaya nk
Napata maswali mengi kuhusu hii bahati
1. bahati ni nini
2. bahati mtu huzaliwa nayo (inborn) au unaweza jipatia bahati yako katika kipindi cha maisha
3. kwann baadhi ya watu wanaonekana kuwa na bahati kuliko wenzao
Je kuna namna mtu anaweza jitengenezea bahati yake
4. inafahamika kuwa bahati inaweza kua mbaya au nzuri
je hizi bahati mbili zina tegemeana?
karibuni kwenye mjadala..
Bahati (lucky) is when preparation meets opportunity
Mkuu Charming Lady, asante kunitonya hii mada!.
Kwa kuanzia, in reality, hakuna kitu kinachoitwa bahati, lucky, wala hakuna bahati nzuri, good lucky wala hakuna bahati mbaya, bad lucky, zote hizi ni "works of powers" from within!. There is nothing new under the sun, everything that happens ni pre meditated move, it had to happen that time, na vivyo hivyo ilivyotokea!, ndio manna unashauriwa always shukuru kwa yote, liwe zuri au baya, lilikuwa litokee tuu!.
Maombo yote kwenye maisha yetu yako controlled by the will within us, sasa hii will iki fanya mema, inajenga kitu kinachoitwa "good will" na hii ndio wanaiita bahati!, kismat etc. Ukifanya mabaya unapata "bad will" ndio inaitwa bahati mbaya, balaa au majanga!.
Hii will inakuwa influence positively kufanya mambo mazuri na negatively kufanya mambo mabayo, na ukumbuke lolote linalokupata, it's your own making!.
Kwenye hayo mazuri na mabaya ya will na hapa ndipo kitu kinachoitwa "karma" kina play part, ukifanya maovu, utalipwa maovu na majanga yatakukuta na kuishia kusema ni bahati mbaya, mikosi, majanga, na mabalaa!. Ukifanya mema, utalipwa mema, ndio hiyo inaitwa bahati nzuri, mambo super, neema tele!.
Tatizo la karma, kama haijabance, fidia in a transfer to next generation, hii ndio watu wanaita curse, laana!, yaani unajikuta unamikosi mwanzo mwisho, kumbe ni makosa ya mababu zako!.
Ukisha realise you are on the control of your destiny, be positive with affirmatives you want the best, you'll get the best!.Hata ukiingia casino, unaweza ku will machine ikatema on your favour, ukavuna pesa!.
Ila pia kuna kitu kinaitwa mikosi ya kujitakia, ni mtu kutokuwa mwangalifu na kitu kinachoitwa love compatibility,ambapo uki date na a compatible, unatengeneza good will, kismati, life ina shine, mnapata mafanikio makubwa na furaha milele!, uki date na incompatible unajiletea nuksi, ni majanga, na ma balaa kwa kwenda mbele!, siku zote unapokutana na mtu ambaye sio, kuna signs kibao zinakuambia sio, ila una zi ignore, na hata yanapokukuta, unaweza usijue uko na mtu mwenye nuksi, unabakia kujisemea sijui nina mahati mbaya gani!.
Pasco
Nyani Ngabu where are you?aaah maramokomoko sio mbaya
ata na hivyo ajanipa madongo siku nyingi nimemis
Mkuu Charming Lady, asante kunitonya hii mada!.
Kwa kuanzia, in reality, hakuna kitu kinachoitwa bahati, lucky, wala hakuna bahati nzuri, good lucky wala hakuna bahati mbaya, bad lucky, zote hizi ni "works of powers" from within!. There is nothing new under the sun, everything that happens ni pre meditated move, it had to happen that time, na vivyo hivyo ilivyotokea!, ndio manna unashauriwa always shukuru kwa yote, liwe zuri au baya, lilikuwa litokee tuu!.
Maombo yote kwenye maisha yetu yako controlled by the will within us, sasa hii will iki fanya mema, inajenga kitu kinachoitwa "good will" na hii ndio wanaiita bahati!, kismat etc. Ukifanya mabaya unapata "bad will" ndio inaitwa bahati mbaya, balaa au majanga!.
Hii will inakuwa influence positively kufanya mambo mazuri na negatively kufanya mambo mabayo, na ukumbuke lolote linalokupata, it's your own making!.
Kwenye hayo mazuri na mabaya ya will na hapa ndipo kitu kinachoitwa "karma" kina play part, ukifanya maovu, utalipwa maovu na majanga yatakukuta na kuishia kusema ni bahati mbaya, mikosi, majanga, na mabalaa!. Ukifanya mema, utalipwa mema, ndio hiyo inaitwa bahati nzuri, mambo super, neema tele!.
Tatizo la karma, kama haijabance, fidia in a transfer to next generation, hii ndio watu wanaita curse, laana!, yaani unajikuta unamikosi mwanzo mwisho, kumbe ni makosa ya mababu zako!.
Ukisha realise you are on the control of your destiny, be positive with affirmatives you want the best, you'll get the best!.Hata ukiingia casino, unaweza ku will machine ikatema on your favour, ukavuna pesa!.
Ila pia kuna kitu kinaitwa mikosi ya kujitakia, ni mtu kutokuwa mwangalifu na kitu kinachoitwa love compatibility,ambapo uki date na a compatible, unatengeneza good will, kismati, life ina shine, mnapata mafanikio makubwa na furaha milele!, uki date na incompatible unajiletea nuksi, ni majanga, na ma balaa kwa kwenda mbele!, siku zote unapokutana na mtu ambaye sio, kuna signs kibao zinakuambia sio, ila una zi ignore, na hata yanapokukuta, unaweza usijue uko na mtu mwenye nuksi, unabakia kujisemea sijui nina mahati mbaya gani!.
Pasco
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema "whatever a mind of a man can conceive and believe, it can achieve".Bahati watu huzaliwa nayo...ila inaweza kutokea baadae, hata uzeeni..sasa hii inafanya wengine wajibu kwa kusema bahati mtu hukutana nayo au hutengenezwa. Ishu iko hivi: kila mtu ana baraka yake (bahati), muhusika yuko na control ya kuipoteza au kuipata au kuiboresha au kuifanya laana. matumiza yako ya muda na matendo yako katika mambo yanayolenga mafanikio ndio yanang'arisha bahati yako au kuichelewesha. This is from my experience na usomaji wa vitabu vingi.
Hiyo ni nature tuu!!!
Ni sawa na faida vs Hasara!!
Carl Max aliwahi kusema hili ktk kitabu chake alichozungumzia juu ya ubepari
"Everything on earth exist in opposite direction"
Mfumo wa maisha yetu no matter what, vitu vipo viwili2 kiukinzani!!
Chema vs Kibaya
Usiku vs. Mchana
Juu. vs Chini
Bahati mbaya vs Bahati Nzuri
kifupi vs kirefu ...............................LIST NDEEEEEFU!!!
For me swala la bahati linaingia hapa!!!
Natural thing....everyone has equal chance to share or not share in life!!!
Whether born with or otherwise!!!!
Theory of Probability can help us more to understand this concept!!!!
Mkuu Charming Lady, asante kunitonya hii mada!.
Kwa kuanzia, in reality, hakuna kitu kinachoitwa bahati, lucky, wala hakuna bahati nzuri, good lucky wala hakuna bahati mbaya, bad lucky, zote hizi ni "works of powers" from within!. There is nothing new under the sun, everything that happens ni pre meditated move, it had to happen that time, na vivyo hivyo ilivyotokea!, ndio manna unashauriwa always shukuru kwa yote, liwe zuri au baya, lilikuwa litokee tuu!.
Maombo yote kwenye maisha yetu yako controlled by the will within us, sasa hii will iki fanya mema, inajenga kitu kinachoitwa "good will" na hii ndio wanaiita bahati!, kismat etc. Ukifanya mabaya unapata "bad will" ndio inaitwa bahati mbaya, balaa au majanga!.
Hii will inakuwa influence positively kufanya mambo mazuri na negatively kufanya mambo mabayo, na ukumbuke lolote linalokupata, it's your own making!.
Kwenye hayo mazuri na mabaya ya will na hapa ndipo kitu kinachoitwa "karma" kina play part, ukifanya maovu, utalipwa maovu na majanga yatakukuta na kuishia kusema ni bahati mbaya, mikosi, majanga, na mabalaa!. Ukifanya mema, utalipwa mema, ndio hiyo inaitwa bahati nzuri, mambo super, neema tele!.
Tatizo la karma, kama haijabance, fidia in a transfer to next generation, hii ndio watu wanaita curse, laana!, yaani unajikuta unamikosi mwanzo mwisho, kumbe ni makosa ya mababu zako!.
Ukisha realise you are on the control of your destiny, be positive with affirmatives you want the best, you'll get the best!.Hata ukiingia casino, unaweza ku will machine ikatema on your favour, ukavuna pesa!.
Ila pia kuna kitu kinaitwa mikosi ya kujitakia, ni mtu kutokuwa mwangalifu na kitu kinachoitwa love compatibility,ambapo uki date na a compatible, unatengeneza good will, kismati, life ina shine, mnapata mafanikio makubwa na furaha milele!, uki date na incompatible unajiletea nuksi, ni majanga, na ma balaa kwa kwenda mbele!, siku zote unapokutana na mtu ambaye sio, kuna signs kibao zinakuambia sio, ila una zi ignore, na hata yanapokukuta, unaweza usijue uko na mtu mwenye nuksi, unabakia kujisemea sijui nina mahati mbaya gani!.
Pasco
Posco nisaidie hapa. Nimedondosha tshs 10000/=, wakapita watu ishirini hawakuiona na kuiokota. Akapita wa 22 akaiona na kuiokota. Swali: hawa 20 wana nini wasiiokote? Huyo wa 22 ana nini mpaka akaiokota?
Bahati ipo ila kwa % kubwa unaicreat mwenyewe. Iwe mbaya au nzuri.
Maswali yatakuja