Bahati mbaya

Bahati mbaya

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,717
Reaction score
13,176
BAHATI MBAYA

Mume na mke wanafanya mapenzi gizani kwa muda wa miaka kumi,ndipo siku moja uzalendo unamshinda mwanamke na kuamua kuwasha taa ila ghafla alipigwa na bumbuwazi baada ya kuona kuwa kumbe mumewe ana uume wa bandia!

Mke:haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha?

Mume:Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno,nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?
Nalog off
 
BAHATI MBAYA

Mume na mke wanafanya mapenzi gizani kwa muda wa miaka kumi,ndipo siku moja uzalendo unamshinda mwanamke na kuamua kuwasha taa ila ghafla alipigwa na bumbuwazi baada ya kuona kuwa kumbe mumewe ana uume wa bandia!

Mke:haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha?

Mume:Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno,nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?
Nalog off
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuuuhh kali hiyo.
Joseverst nimeshaiwahi seat yako mkuu, mwaka huu unazembea sana first place yako
 
BAHATI MBAYA

Mume na mke wanafanya mapenzi gizani kwa muda wa miaka kumi,ndipo siku moja uzalendo unamshinda mwanamke na kuamua kuwasha taa ila ghafla alipigwa na bumbuwazi baada ya kuona kuwa kumbe mumewe ana uume wa bandia!

Mke:haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha?

Mume:Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno,nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?
Nalog off
Ha ha ha kweli log off tu
 
Back
Top Bottom