Bahati nasibu ya Mchina 'Korokoro' special thread

Bahati nasibu ya Mchina 'Korokoro' special thread

Kuna siku nilicheza ikawa inamwaga tu hela ,uzuri tulikuwa kama wanne hamna anayetaka kucheza ,mi naendelea tu inamwaga hadi hela zikaisha kumbe mbovu.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
dah kuna siku niliweka buku means token nne nikacheza ngedere,dubu,chui na ng'ombe.

bwana weee ile kubonyeza start ikaanza kuwakawaka na kamziki kazuri kumbe ni all win.Nilikingia hela mpaka na jacket
 
Hii technic nilidhani tunaijua wachache kumbe ni wengi !muda mzuri kutumia ni usiku
Hahaha
Kulifilisi ni ngumu labda ulipasue pesa kidogo ya madafu tena ukiwa na bahati ya mtende..ukishapiga mshindo ukimbie mithili ya bolt bila ya hivyo utacheza tena na utaliwa hata pesa ambayo hukuwa nayo

Njia ya kulifilisi ni kulichokonoa kwa Uzi uliofungia mia mbili ..hii inahitaji wataalamu wa kazi

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Kuna siku nilicheza ikawa inamwaga tu hela ,uzuri tulikuwa kama wanne hamna anayetaka kucheza ,mi naendelea tu inamwaga hadi hela zikaisha kumbe mbovu.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
noma kweli
 
Back
Top Bottom