Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Hawa aisee walinitoa machozi kidume ila hatimaye Ni muda wa kulipiza kisasi.... nilitamani Sana tungeaanza nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipigwa vingap mpaka ukabubujikwa machozHawa aisee walinitoa machozi kidume ila hatimaye Ni muda wa kulipiza kisasi.... nilitamani Sana tungeaanza nao
Pamoja na hilo, karibia Nchi zote za Waarabu hapa Afrika wamepata uwakilishi, isipokuwa LIBYA tu!Mwaka huu timu za weusi ni nyingi kuliko za waarabu, chakushangaza bingwa atakuwa mwarabu [emoji24][emoji24]
Mechi za makundi zinaanza lini?
Mngekuwa na akili mgekuwa mnaulizia hata Afya za wachezaji WENU.
1. Aishi Manura.
2. Enock Inonga na
3. Aubin kramo.
Una uhakika hawatakuliza tena?Hawa aisee walinitoa machozi kidume ila hatimaye Ni muda wa kulipiza kisasi.... nilitamani Sana tungeaanza nao
Hapo Sina shaka watakaa poa....Manula alishaanza mazoezi na wenzie.....inonga hayuko mbali kupona......kramo ndio sijajua Hali yake kwa sasaMngekuwa na akili mgekuwa mnaulizia hata Afya za wachezaji WENU.
1. Aishi Manura.
2. Enock Inonga na
3. Aubin kramo.
Hawa lazima tuchukue point sita muhimu lengo letu tuongoze kundii......Sina Shaka na wydad lazima waingie upepo coz wanajua Moto wa simbaUna uhakika hawatakuliza tena?
[emoji1][emoji1][emoji1] 3 kwa 1Ulipigwa vingap mpaka ukabubujikwa machoz
Naunga mkono hoja 👍👏Mpira ni Dk 90
1Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.
Warumi 12:19
Kisasi ni Cha Mungu MWENYEWE na Mungu Ndiye mwenyekulipiza kisasi.
FIFA WENYE MPIRA WAO WENYEWE, WANASISITIZA SANA FAIR PLAY.
Naunga mkono hojaKwa kupenda kucheza mpira wa mdomoni tu, hamjambo.