Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,732
2010 ulimaliza ulikuwa form3/4[emoji4] [emoji4] .Hahahaha mkuu mbona unanishusha sana aisee,,mpaka kufikia 2010 nilikuwa nishamaliza form 6 hivyo kama unaweza kukadilia anzia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2010 ulimaliza ulikuwa form3/4[emoji4] [emoji4] .Hahahaha mkuu mbona unanishusha sana aisee,,mpaka kufikia 2010 nilikuwa nishamaliza form 6 hivyo kama unaweza kukadilia anzia hapo
Hahahaa. Ujue humu kila kitu ni fake hivyo hata miaka hatuwezi sema ile sahihi hata kama mtu atakaribia na ukweli au atakuwa mbali na ukweli ili kuendeleza ule ufake wetu.Haha ukimkadria mtu kwenye 25+ anabisha kinoma
Nimeitika kijana[emoji4][emoji1] [emoji1] [emoji1] sawa muhenga heshima yako
Hahaaaa haya[emoji3] [emoji3]Hahahaa. "eti mzee kijana duuh"
Itabidi nitafute ukweli aisee.
Hahahaaa. Kwa nini sasa ndugu yangu uwe mtazamaji?Wahenga na uhenga wao
Vijana na ujana wao
Mi ni mpenzi mtazamaji
????????????2010 ulimaliza ulikuwa form3/4[emoji4] [emoji4] .
haha emmyta 100Hahahaaa. Kwa kuangalia maandishi na wengi watachemsha aisee sababu unaweza kuta mtu anamaandishi ya kikubwa ila ni mdogo. Na kuna wakubwa nao lakini wakiwa humu wanakuwa na akili kama watoto.
Hivyo tabu tupu kwa walio wengi ni ngumu kuwabahatisha.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Nimeitika kijana[emoji4]
Sawa Mzee kijana. HahaaaHahaaaa haya[emoji3] [emoji3]
Shkamoo babaNdio muanzage kusalimia baba na mama zenu humu jf
Kwakweli swahibaHahahaa. Ujue humu kila kitu ni fake hivyo hata miaka hatuwezi sema ile sahihi hata kama mtu atakaribia na ukweli au atakuwa mbali na ukweli ili kuendeleza ule ufake wetu.
Na kila mmoja ukweli wake anabaki nao mwenyewe moyoni mwake kama yalivyo kwenye majina na hata jinsia hivyo yaani Swahiba.
Hivyo kubali tu miaka yetu. Hahahaaaa.
Nimeitika binti....Shkamoo baba
Ndio uanze kutupia salamu, kabla ya kuandika uzi ama commentsDuh! Mimi bado mtoto mkuu yaani hapa nasubiri matokeo ya form 4
Hapa salama baba yangu kila mtu mzee sa hiviNimeitika binti....
Habari ya hapa....!!??
Wanataka kuja kuninyonya chuchu saa 3 asubuhiHahaa. Midume itakuparamiaa...kibinti kibichi.
Hahahaaa. Duuh.haha emmyta 100
Sipatii picha watavyopanga foleni..Wanataka kuja kuninyonya chuchu saa 3 asubuhi
Hahahaaa. Duuh.
Jamaani. Mie naikaribia nusu yake. [emoji85][/QUOTHongera umri ni wakujivunia siyo kuficha...