bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Licha ya Simba kutumia propaganda,muda na Pesa nyingi,bado wameshindwa kumpata fundi wa kutengeneza Meza ya miguu mitano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo mnachekesha mnoooLicha ya Simba kutumia propaganda,muda na Pesa nyingi,bado wameshindwa kumpata fundi wa kutengeneza Meza ya miguu mitanoView attachment 1794135
Usituharibie legacy yetuLicha ya Simba kutumia propaganda,muda na Pesa nyingi,bado wameshindwa kumpata fundi wa kutengeneza Meza ya miguu mitanoView attachment 1794135
Mlituaminisha mno kuwa mtapindua mezaUtopolo mnachekesha mnooo
Pole sana, it's about football mkuuUsituharibie legacy yetu
Dah akianani, na machungu ya kutolewa yamepotea kabisaLicha ya Simba kutumia propaganda,muda na Pesa nyingi,bado wameshindwa kumpata fundi wa kutengeneza Meza ya miguu mitanoView attachment 1794135
Usijali. Tutaitengeneza tarehe 3 July.Licha ya Simba kutumia propaganda,muda na Pesa nyingi,bado wameshindwa kumpata fundi wa kutengeneza Meza ya miguu mitanoView attachment 1794135
Unamuombeaje njaa mtu aliyekusanya bilioni tatu na bado kuna zingine za kushinda ligi ya vpl na mikataba ya udhamini atakayopata ya fedha!adui muombe njaa tuu.
Ah wapi,labda kushinda na njaaHapa nakula kreti ya kenge m'moja alijidai wanashinda 5-0
Lazima tumuombee njaa ili asije kupata nyingi zaidiUnamuombeaje njaa mtu aliyekusanya bilioni tatu na bado kuna zingine za kushinda ligi ya vpl na mikataba ya udhamini atakayopata ya fedha!
Sio mbaya hata hizo nne tulizopataMlituaminisha mno kuwa mtapindua meza
Simba hajawai kulala njaaLazima tumuombee njaa ili asije kupata nyingi zaidi
Dah[emoji1787][emoji1787]Wazee wa viti maalum mna gubu kweli kweli
Hapa ndo mnapokosea,mnadhani Utajiri wa Mo ni wa wenuSimba hajawai kulala njaa
Yanga ni wa pili kwenye msimamo,usisahau hiloWasicho jua Utopolo FC ni kwamba na wenyewe wametolewa, watashangilia nani tena saa hizi. Inabidi wabaki kushangilia team yao inayo shinda mechi moja na kudraw mbili. Natabiri watapungua sana mtandaoni kuanzia sasa.