Bai Bai Simba

Bai Bai Simba

bartenderznz

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
398
Reaction score
195
Licha ya Simba kutumia propaganda,muda na Pesa nyingi,bado wameshindwa kumpata fundi wa kutengeneza Meza ya miguu mitano
antique-dining-table.jpg
 
Unamuombeaje njaa mtu aliyekusanya bilioni tatu na bado kuna zingine za kushinda ligi ya vpl na mikataba ya udhamini atakayopata ya fedha!
Lazima tumuombee njaa ili asije kupata nyingi zaidi
 
Wasicho jua Utopolo FC ni kwamba na wenyewe wametolewa, watashangilia nani tena saa hizi. Inabidi wabaki kushangilia team yao inayo shinda mechi moja na kudraw mbili. Natabiri watapungua sana mtandaoni kuanzia sasa.
 
Wasicho jua Utopolo FC ni kwamba na wenyewe wametolewa, watashangilia nani tena saa hizi. Inabidi wabaki kushangilia team yao inayo shinda mechi moja na kudraw mbili. Natabiri watapungua sana mtandaoni kuanzia sasa.
Yanga ni wa pili kwenye msimamo,usisahau hilo
 
Back
Top Bottom