Baiskeli Afrika...usafiri wa kudumu.

Baiskeli Afrika...usafiri wa kudumu.

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,253
From Rwanda with love....😀

_46794617_dscf2163.jpg
 
Atakaa wapi? hapo aliposhika na mkono wa kulia?
 
Uganda 'boda bodas' na mingaro yake.....

_46794335_img_0654.jpg
 
Watani wetu wa jadi nao hawajawachwa nyuma...

_46799176_dscf4604.jpg
 
Abi,
tuwekee ta TANGA.maanake kule ndio taxi zao
 
From Rwanda with love....😀

_46794617_dscf2163.jpg
...Duh! Kule nyanda za juu kusini hasa kule kibena, mdandu, Ramazani wanaita Kibagadu na wale ndugu zangu wa magharibi kule sehemu za nyakitonto, rulenge, mubinyange huwa wanaita Ngologojo!!! Jamaa hatakiwi kukaa ni kuwa anaweka kamzigo kama vile kiroba cha mahindi au mkungu wa ndizi then anakokota sehemu yenye mlima akifika kwenye mteremko ndio hapo anaburudika!!!! KIla kitu na wakati wake jamani...
 
Kwa kina Raila jamaa wanacheki soka la miembeni....

_46795443_dsc02132.jpg
 
Back
Top Bottom