Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
- Thread starter
- #21
Haya waganda...Sebo?....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanza Kituo cha baiskeli.
Mkuu,Abi,
tuwekee ta TANGA.maanake kule ndio taxi zao
Ushajibiwa na Laligeni...Ili aweze kuendesha vizuri, siunajua akichoka lazima akae, sasa atakaa wapi?
<!-- / message --><!-- sig -->...Duh! Kule nyanda za juu kusini hasa kule kibena, mdandu, Ramazani wanaita Kibagadu na wale ndugu zangu wa magharibi kule sehemu za nyakitonto, rulenge, mubinyange huwa wanaita Ngologojo!!! Jamaa hatakiwi kukaa ni kuwa anaweka kamzigo kama vile kiroba cha mahindi au mkungu wa ndizi then anakokota sehemu yenye mlima akifika kwenye mteremko ndio hapo anaburudika!!!! KIla kitu na wakati wake jamani...<!-- google_ad_section_end -->
..Mazee hii wapi,Mocambique??Madagascar....
![]()
Tuwekee na ule wa kwenu Zenji ule usafiri wa Punda
..Mazee hii wapi,Mocambique??
..Mazee hii wapi,Mocambique??