Baiskeli Afrika...usafiri wa kudumu.

Ili aweze kuendesha vizuri, siunajua akichoka lazima akae, sasa atakaa wapi?
Ushajibiwa na Laligeni...

<!-- / message --><!-- sig -->
 
Tuwekee na ule wa kwenu Zenji ule usafiri wa Punda

Weye hebu tuwache sisi wa-Zenj. Ngoma hii hapa.Hamna cha punda wala nini... 😀




Kiwengwa Beach hapo basi...

 
Hii nasikia ilikua pale Slipway..kuna mtu aliyeona?

 
Jamaa kijijini kaona kiwingu kinatanda...hamna mwavuli wala nini.




Na hapa napo, mpaka kieleweke tu...mzigo uwahii.

 
Nasikia hizi ndizo Ambulance za vijijini kule Namibia...😀










Hii nayo ni School bus au sijui vipi tena.​

 
Kwa leo naishia hapa. Ngoja nichape kazi nisije nikamwaga unga.
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=b_ON6nC8gf8"]
[/ame]


Wakuu hii ni NYC Manhattan



 


Long Island, karibu na pale Mineola stesheni ya reli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…