Bajaj business, 12,000,000

Bajaj business, 12,000,000

Start with one you fool! do not invest all yr monry first...kuwa kama wahindi their success is caution ...frst invest reap and invest agian..and you wll be filthy rich!!!!!!!![/Q

Respect Mkuu,

Matusi hayo sasa. jaribu kujenga heshima kwani ni kitu cha bure. Jamaa anaomba kuelimishwa na si kutukanwa. Watu wengine sijui vipi!!
 
[I said:
Respect Mkuu,
Matusi hayo sasa. jaribu kujenga heshima kwani ni kitu cha bure. Jamaa anaomba kuelimishwa na si kutukanwa. Watu wengine sijui vipi[/I]!!

Shadow inakuwaje mkuu, kitambo.

Achana na jamaa watu wengine ndiyo wako hivyo, anaweza akawa anaservings ambazo hazifiki hata laki nne.
 
Wakuu heshima mbele,

Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.

Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.

3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.

315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000

Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.

Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.

Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.

...kaka, lifespan ya kibajaj ni kama askari wa kimarekani Vietnam, hio miaka mitatu naona kama unapiga hesabu za mbali sana.
 
mmmh ili la bajaj sikushauri,labda dereva uwe umemchonga mwenyewe,maana most of them wapo rough ile mbaya,kwa hiyo within a short period even one month.matatizo yataanza.ila kama upo serious anza na moja ujue inalipa au hailipi!lakini sikukatishi tamaa ila ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia ndani.
 
Kweli wa tz sio wabunifu,yaani bajaj zilivyo jaa na wewe unaenda funga foleni???????milioni 12 but ubunifu sifuri.fuga kuku basi

Wewe hujawahi hata kufanya biashara unavyoonyesha. Ubunifu gani unaoutaka. Toa ushauri wa maana. Kujaa kwa bajaji siyo issue,issue ni kuweza kucompete.Mbona wafuga kuku wamejaa kila kona?
 
Wakuu heshima mbele,

Nimefanikiwa kukamata 12,000,000 ambayo nataka kuizungusha kwa biashara ndogo, kuna watu wamenishauri kuwa kwa kiwango nilicho nacho naweza kununua BAJAJ 3 na kufanya biashara ya usafiri ya Bajaj.

Kinachotakiwa nifanye ni kununua hizo Bajaj 3, baada ya hapo natafuta watu watatu ambao kila mmoja nitampatia Bajaj moja moja, hawa jamaa watakuwa wakinilipa shiling 15,000 kila mmoja kila siku, lakini kufanya shughuri ya kukusanya hela iwe rahisi hawa jamaa watakuwa wana-bank sh 105,000 kila mmoja kila week...hesabu yake imekaa hivi.

3 bajaj x 105,000 kila bajaj kila week = 315,000 kila week.

315,000 X 52 weeks a year = 16,380,000

Kwa hesabu hiyo nitakuwa na uwezo wa kuingiza 16,380,000 kwa mwaka.

Matengezo ya Bajaj nimeambia ni ya gharama ya chini nitatumia chini ya 100,000 kwa kila Bajaj kwa Mwaka.

Wadau mnaonaje kuhusu hili, niko mbali na Dar na nadhani Bi mkubwa ataweza kabisa kusimamia mradi huu.
Kwanini usiweke ktk KILIMO KWANZA mzee...
 
MJ kila kitu kina gharama yake unajua hata kwenda msalama hutu gharimu alot of calories of energies, kwa mantiki hiyo ni kweli kabisa mheshimiwa huyu if h/she is in need of ushauri basi ita mgharimu vitu kama credit ya mawasiliano. Lakini jambo la msingi ni vyema tukaifuta fikra potofu ya kwamba ujasilimiamali ni ule kwa minajiri ya kuondoa umaskini wa mtu mmoja mmoja yaani MKUKUBI, rahasha ni vyema vijana wa leo hasa graduates tukabadili mind set zetu nakufanya vitu kwa minajiri ya jamii nzima la sivyo nyimbo za ufisadi zitaelendelea kupamba media zetu. Unaonaje muheshimiwa na milioni zake 12 akaungana na yule bwana wa ppale BENJAMINI MKAPA EXPORT ZONE mwenye milioni 16 na kuinvest kwenye kitu cha adabu zaidi na bila shaka tutapungunza malalamiko ya bidhaa fake kwa kuthamini vyetu.

Kaka take care with Partnership. Kwa Tanzania Partnership ni Ugonjwa wa Moyo nakuambia. I have a lot of true stories on this!!! Kama partnership inge work Hapa Tz kweli tungekua mbali, tena mbali sana. Mimi hapa nina mil 22 benki lakini nashindwa ku invest coz bado ni ndogo. I want them to in the rank of 40. ni nunue coaster kaka
 
Uzuri wa biashara hii, unarudisha mtaji wako in one year time, the second year 16,000,000 mfukoni third year 16,000,000 4th year unauza hizo bajaj for 10,000,000.

So you can make a 42,000,000 profit in 3years time na kumbuka biashara hii haihitaji usimazi mkubwa toka kwako, wewe ni kumake sure jamaa wanakuletea hela yako kila week.

Mnaonaje.

Mkuu naona analysis yako haijakaa vizuri. Revenue sio profit kaka. Profit = Revenue - Costs. Aliyekwambia cost za bajaji ni laki moja kwa mwaka kakudanganya. Tyre inauzwa about Tshs 40,000 kwa moja na half life yake is about 6months, Vikombe, vinauzwa about Tshs 25000 na vinakufa marakwa mara so kwa kifupi cost ni zaidi ya hiyo laki moja unayosema. Sinauzoefu na biashara hiyo but I have a friend alinipa experience yake kidogo. Nakushauri fanya utafiti wa kutosha usiwe over-ambitious. Anyway is a good business
 
Back
Top Bottom