johnj
Member
- Jul 23, 2008
- 91
- 31
Ninauza bajaj TVS King ambayo imeshatumika kwa miaka miwili hivi. bei ni shilingi za kitanzania 2,500,000/= ila inaweza kupungua kidogo kulingana na tutakavyokubaliana na mnunuzi. kwa sasa ipo Tabata Segerea.
mnunuzi yeyote anaweza kuni pm au kuandika hapa na kama atapenda kuja pia tuwasiliane kwa kunitumia private message nami nitampigia simu na kumpa maelekezo
mnunuzi yeyote anaweza kuni pm au kuandika hapa na kama atapenda kuja pia tuwasiliane kwa kunitumia private message nami nitampigia simu na kumpa maelekezo