Bajaj ya mkataba

1. Jiunge Bolt na Applications nyingine.
2. Angalia njia ambayo jioni au Asubuhi ina abiria wengi wanaoenda kazini au kurudi majumbani wabebe kwa jero/buku/ au buku mbili mbili.
3. Kuwa na kauli nzuri kwa abiria.
4. Jipe siku moja ya break na service ya bajaji.
5. Idea ya business card nzuri. Itakusaidia.
 
Pambana mkuu

Mimi ndio ombi langu ilo kila siku nipate bajaj
 
Hivi hiyo hela ya kuchezea kutengeneza hizo business card unaitoa wapi? Biashara mkuu haitaki hizo mbwembwe za kisoro. Mbongo unamjua tu alivyo you can't entice him/her on pieces of papers. Mmatumbi siyo wa kuzoeana naye kabisa kwa Kila kitu. Wee ngojea tu watakapokupandia mabegani kwenye Bajaj Yako ukiendesha.
 
Nashukuru Sana Mungu akubaliki
 
...Mkuu, mi naomba Kuuliza TU; Hivi Sasa Boda Boda Kwa Wiki Mkataba ni Shilingi Ngapi?
 
Mbona kama unamkatisha tamaa
 
Nikushauri hiyo bajaji kama ni mpya sawa ingia mkataba ila uwe makini pale unapotaka kutoa daywaka ni nani umpe ili combo kisichoke mapema kingine soma mkataba vizuri kusiwe na sehemu itakayokuja kukuumiza na swala la BC sio mbaya unakua smart kwenye kaz yako sio lazima umuombe mtu namba unampatia BC unasepa mwenyewe atakukumbuka . ikiwezekana tafuta kijiwe kinachotoa ingia mzigoni mumgu akakutangulie.
 
Nashukuru Sana Mkuu!
 
Jamani kwa mwenye uelewa
Mjini ni wapi au hata hapa Mbagala au
Naomba ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…