Bajaji ipi ni nzuri kwa biashara?

Bajaji ipi ni nzuri kwa biashara?

nyaafu

Senior Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
155
Reaction score
18
Habari za jumapili ndugu zangu.
Nimebahatika kupata pesa kidogo kiasi cha millioni 6 hivi nataka kujaribu biashara ya Bajaji.naombeni ushauri ni ipi inafaa kati ya TVS na PIAGIO? nitashukuru kwa ushauri wenu ili nifanye uamuzi.niweke wazi kuwa naishi Dar hivyo niko tayari kwa ushauri wenu ili tusukume uchumi na kufanya maisha kuwa bora kwa kila Tanzania.
 
TVS second hand inauzwa BTL , iko vizuri if interested 2.5M anachukua tajiri
 
Iko poa muuzaji wewe tu uingalie ,contact muuzaji 0766315158
 
TVS ndio imara.
Ninayo yangu namba CGQ iko na hali nzuri sana sana. Kama utahitaji nicheki PM au kwa namba 0658 17 19 26.
 
Back
Top Bottom