Bajaji ya biashara inatakiwa

Bajaji ya biashara inatakiwa

losi

Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
16
Reaction score
5
Wana jamiii,,,naombeni mwenye taarifa zozote za wapi Bajaji used kutoka nje zinauzwa. Nataka bajaji used ambayo iko katika hali nzuri kwa ajili ya kufanyia biashara. Mtaji wangu sii zaidi ya milioni3. Ila kama nitapata nzuri zaidi nikaongeza kidogo sawa. Nikipata hata 2 nitashukuru zaidi. Msaada wenu tafadhali. Shukrani
 
Wana jamiii,,,naombeni mwenye taarifa zozote za wapi Bajaji used kutoka nje zinauzwa. Nataka bajaji used ambayo iko katika hali nzuri kwa ajili ya kufanyia biashara. Mtaji wangu sii zaidi ya milioni3. Ila kama nitapata nzuri zaidi nikaongeza kidogo sawa. Nikipata hata 2 nitashukuru zaidi. Msaada wenu tafadhali. Shukrani
uko wapi ninayo moja nauza dodoma 3.3
 
Back
Top Bottom