Bajaji za Umeme zina faida gani? Changamoto zao ni zipi?

Bajaji za Umeme zina faida gani? Changamoto zao ni zipi?

OleWako

Member
Joined
Sep 7, 2021
Posts
10
Reaction score
43
Ndugu wataalamu mnaoendesha bajaji za umeme.

leo nimeendeshwa na dereva wenye bajaji ya umeme na kuongea naye kumenipa wazo la kununua bajaji ya umeme mwenyewe.

Dereva aliniambia bajaji za umeme zina faida tu: matumizi ya umeme ndogo, uwezekano wa kuichaji nyumbani, matengenezo ya gharama ya chini, nk. na changamoto hana.

Je, ni kweli changamoto hakuna? Ukiendesha bajaji ya umeme umefanya experiences gani?

Dereva akaniambia zinauzwa na DIT. Kuna wauzaji wengine Dar? Na bei zao ni zipi?
 
Unategemea dereva akueleze changamoto ya shughuli anayoifanya?
 
Back
Top Bottom