Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

Mkuu JABALI LA KARNE, suala la Mpangaji kulipa Kodi ya Nyumba lipo wazi.

Ulitaka kumaanisha "Mpangaji analipa Kodi ya Majengo?"
Namaanisha alichokifanya waziri ni kuwa mtumiaji wa jengo alipe kodi ya jengo. Kama umepangisha jengo, muda ule uliopangisha lile jengo ni lako labda kama mkataba ueleze vinginevyo.

Kama hatutaki kulipa hiyo kodi sawa ila hatuwezi tegemea wafanyabiashara wachache na matajiri wachache walipe aina zote za kodi.
 
Mbona Ewura na REA mnalipia kupitia Luku.Mfumo huu wa kulipia majengo kupitia Luku is the best kama tunataka kujenga uchumi wetu hauna rongorongo au ukwepaji au kutumia nguvu kudai kodi. Mfumo huu ni sawa kodi iliyoko kwenye mshahara. Pengine wafanye maboresho kidogo ilipike kwa urahisi na haki.
 
NAKUPONGEZA MWIGULU LAMEKI NCHEMBA UMEFANYA JAMBO ZURI MNO,SASA PROPERTY TAX ITAPATIKANA VIZURI MNO BY MASS PAYMENTS.
HONGERA SANA.
HILI LINAFANANA NA LILE LA MOTOR VEHICLE.
Motor vehicle na hata kwenye mishahara pia. indirect taxes za namna hii zina uhakika wa ukusanyaji kuliko hata kwa kupitia EFD. Vinginevyo Wizara wakiicha kodi hii wasahau kupandisha mishahara ya watumishi, kulipa madeni,kukamilisha miradi nk
 
sio kila jambo linapaswa kupingwa.Unapiga kelele kuhusu kodi ya majengo wakati pesa yenyewe ni hela mbuzi 12,000/= kwa mwaka haina effect yeyote kwa mpangaji.Kama nyumba inawapangaji wa 5 inamaana watalipa chini ya 2000 kwa mwaka mzima.Wapangaji kuna siku wanakaa bila kulipa kodi mfano anapokaribia kuhama wengi wanaomba siku 3 au wiki ndio wanaondoa vyombo.
Hawa wenye taxi bubu mitaani mbona hawalipi kodi hawa na hakuna anaye hangaika nao. Ni eneo muhimu sana la kiubunifu wa kupata kodi kirahisi au kwa vile hiyo biashara ni za wakubwa
 
Ukilalam
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
ikalalamika unaambiwa toa solution.Nimeanza kupata mashaka nanuwezo wako wa kuchambua mambo .
Kodi ilikuwa inalipwa 20,000/= kwa sasa unalipa 1000/= kwa mwezi yaani kwa mwaka 12,000/.Hivi kwa akili zako kweli wapangaji watatu au wanne watashindwa kulipa 1000/= kwa mwezi ambayo sawa na 250/= kwa mwezi kwa wapangaji wanne ambayo ni sawa na 62.5/=kwa siku.???? na kuna nyumba zina wapangaji zaidi ya watano.

Kwa nn unaamini mwenye nyumba ndio anapaswa kulipa hii kodi peke yake,???Yaani na sawa una mshikaji mnalala wote kitanda kimoja kitanda chako ,mashuka yako lakini wewe ndio ufue mashuka peke yako au umemuazima kitanda cha kulalia lakini mashuke awe anakuletea wewe umfulie.Hii ni kodi ya uzalendo ni bora utoe mbadala wa hii kodi kuliko kuanza tu kukosoa bila solutions.
 
ILA MBONA SIJAONA TATIZO HAPO! KWANI KODI YA JENGO NI KIASI GANI? PENGINE PAWE TU NA UTOFAUTI WA KODI KATI YA MAENEO YA MIJINI NA VIJIJINI..! ILI PAWE NA HAKI YA YA KIMATUMIZI YA ARDHI..! KILA MTU ANAPASWA KULIPA KODI NA KUFUATA SHERIA ZA KODI ZILIZOPO! NIMECOMMENT KUTOKANA NA ULICHOANDIKA! NA KAMA NIPO TOFAUTI NA ULICHOMAANISHA TUSAMEHANE 😛
 
Kwani hulipi luku , haufaidiki na hilo jengo , sema mwenye nyumba apunguze kodi ya nyumba, ili hela ya property tax aliokuwa atanipatia kwenye rent aipate sehemu moja ya kwenye luku
Je majengo ya serikali na mashirika/taasisi za dini nayo si yatalipa kodi ya jengo kupitia Luku au itakuwaje?
 
Kwani hulipi luku , haufaidiki na hilo jengo , sema mwenye nyumba apunguze kodi ya nyumba, ili hela ya property tax aliokuwa atanipatia kwenye rent aipate sehemu moja ya kwenye luku
Je majengo ya serikali na mashirika/taasisi za dini nayo si yatalipa kodi ya jengo kupitia Luku au itakuwaje?
Washenzi hao wakatoe mavuzi yao wapate hizo huduma.

Hapa ukitazama kila kelele ya chiriku mambo hayaendi , serikali shikilieni hapo hapo..Hii nchi ina watu walalamishi na wakulaumu Sana na wapenda vya bure
Kodi hii itafanikiwa sana kulingana na idadi ya watanzania kuwa kubwa ukilinganisha na nchi nyingine Afrika Mashariki- 60m
 
Mwigulu ni mchumi mwana siasa hame- base kwenye siasa zaidi ya ualisia wa kazi
Kiuchumi WANTES and NEEDS lazima zizingatiwe ,
Huwezi kusema wantes ipo cheap kuliko needs
Huoni hapo kama kuna shida kichwani
 
Mjinga ni wewe,usilete mfano irrelevant na usiwe mpuuzi,,hata hizo kodi za biashara unadhani anaelipa ni mwenye biashara au yeye ni daraja?

Hujui hata dhana ya tax unaropoka tuu,kwa akili yako mbovu unadhani kodi ya mafuta analipa mwenye gari tuu au mtumiaji kwa njia ya nauli?

Ndo nakueleza leo huyo unaemwita mwenye nyumba eti atalipa nini kwani anaishi mbingini? Hatumii umeme?

Nasema hivi na ujue kuanzia leo hiyo ni kodi kwa kila mkaaji awe mmiliki au mpangaji,unalipia huduma ya jengo unaloishi whether umepanga au umejenga.

Na ndio maana ukipanga unakuwa sehemu ya mmiliki wa hiyo nyumba kwa muda na kulingana na pesa uliyolipa.Lipa kodi hakuna kichaka cha kupanga utakwepa hakipo.

Narudia tena kushauri serikali kupitia wenyeviti wa mitaa wabainishe kila kipande cha ardhi Ili kilipiwe kodi ya ardhi na kudhibiti kuhodhi ardhi na kutoiendeleza,huko kuna pesa nyingi Sana.
Wewe ni juha kabisa.unashindwa nini kujua kua kuchomeka hizo kodi kwenye mafuta ni mbinu tu ya serikali kuongeza makusanyo kwa wingi.Mambo mengine inaonekana umekariri tu ndo maana huna mawazo mapana zaidi ya hicho ulichokaririshwa.
 
Wewe ni juha kabisa.unashindwa nini kujua kua kuchomeka hizo kodi kwenye mafuta ni mbinu tu ya serikali kuongeza makusanyo kwa wingi.Mambo mengine inaonekana umekariri tu ndo maana huna mawazo mapana zaidi ya hicho ulichokaririshwa.
Ulitaka uchomekwe wewe kwenye anal yako ndio mapato yaongezeke?
 
Ukilalam

ikalalamika unaambiwa toa solution.Nimeanza kupata mashaka nanuwezo wako wa kuchambua mambo .
Kodi ilikuwa inalipwa 20,000/= kwa sasa unalipa 1000/= kwa mwezi yaani kwa mwaka 12,000/.Hivi kwa akili zako kweli wapangaji watatu au wanne watashindwa kulipa 1000/= kwa mwezi ambayo sawa na 250/= kwa mwezi kwa wapangaji wanne ambayo ni sawa na 62.5/=kwa siku.???? na kuna nyumba zina wapangaji zaidi ya watano.

Kwa nn unaamini mwenye nyumba ndio anapaswa kulipa hii kodi peke yake,???Yaani na sawa una mshikaji mnalala wote kitanda kimoja kitanda chako ,mashuka yako lakini wewe ndio ufue mashuka peke yako au umemuazima kitanda cha kulalia lakini mashuke hawe anakuletea wewe umfulie.Hii ni kodi ya uzalendo ni bora utoe mbadala wa hii kodi kuliko kuanza tu kukosoa bila solutions.
Hujui kitu kijana , tulia .
 
Tulipe tu kwa ajili ya huduma kwa jamii, hii ndiyo namna ambayo kila mwananchi atachangia gharama ya elimu bila ada.
 
Ndo maana tulikuwa tunasemaga, TZ inatakiwa iwe na raisi dikteta ili twende.

Yaani jambo dogo kama hili nalo ni la kuanza kupigizana kelele, kweli kodi ya elf 10/50 mpaka akamatwe mewenye nyumba ndo alipe, yaani serikali imkamate mwenye nyumba badala ya mwenye nyumba na mpangaji waongee jisni ya kurudishiana hii elf 10/50 serikali ije na namna nyingine tena ya kumsaka mwenye nyumba instead ya kukata tu then wenyewe wakubaliane jinsi ya kurudishiana hii hela.

Yaani bila nguvu tutatumia muda mrefu sana kufika nchi ya ahadi.
 
Kodi kisheria inatakiwa kulipwa na anayefaidika siyo dalali
Nyumba nyingi ni wapangaji wanaishi
Hiyo kodi itakuwa inalipwa na wapangaji mwenyenyumba hapati maumivu
Maoni yako ni kwa mtazamo wa mjini zaidi, vijijini ambako umeme umesambaa kila kona, watu wanaishi kwenye nyumba zao.
 
Je majengo ya serikali na mashirika/taasisi za dini nayo si yatalipa kodi ya jengo kupitia Luku au itakuwaje?
Sasa hapa kinacho kuwasha nini au shida yako hapa ni nini hutaki yalipe au unataka yalipe
 
Mwigulu ni mchumi mwana siasa hame- base kwenye siasa zaidi ya ualisia wa kazi
Kiuchumi WANTES and NEEDS lazima zizingatiwe ,
Huwezi kusema wantes ipo cheap kuliko needs
Huoni hapo kama kuna shida kichwani
Hapa nimeshindwa English au inglish yako ni ngumu. Nimeshindwa kupata gist ya shida iliyopo
 
Back
Top Bottom