... siku zote mlipa kodi ni mlaji wa mwisho! Mwenye nyumba mzigo wa kodi mwisho wa siku ataushusha kwa wapangaji tu! Kwangu, hili la kulipia kodi ya pango kupitia Luku angalau lina ubunifu badala ya kuweka "task force" zikimbizane na wenye nyumba vichochoroni angalau automatically watu watalipa kodi za majengo.
TATIZO TUNAKUFA MOYO KUONA MATUMIZI YA HIZI KODI! MBAKA LEO HAMNA ALIYEPIGWA MVUA YA MIAKA KWA KOSA LA UHUJUMU UCHUMI! HALAFU MTU WA HALI YA CHINI UJE TU UMWAMBIE ETI NI RAHISI..! DAH🤨Ndo maana tulikuwa tunasemaga, TZ inatakiwa iwe na raisi dikteta ili twende.
Yaani jambo dogo kama hili nalo ni la kuanza kupigizana kelele, kweli kodi ya elf 10/50 mpaka akamatwe mewenye nyumba ndo alipe, yaani serikali imkamate mwenye nyumba badala ya mwenye nyumba na mpangaji waongee jisni ya kurudishiana hii elf 10/50 serikali ije na namna nyingine tena ya kumsaka mwenye nyumba instead ya kukata tu then wenyewe wakubaliane jinsi ya kurudishiana hii hela.
Yaani bila nguvu tutatumia muda mrefu sana kufika nchi ya ahadi.
Hili la kukata kodi ya nyumba kwenye luku ninaweza kuafikiana nao iwapo tuu. katika unit 28 ninazonunua kutoka katika sh. 10,000/= wafanye yao kama kwenye REA na EURA....mfano 1%...jengo, 2% REA n.k ila wasiguse kwenye Unit zangu. AU WASHUSHE KABISHA UUZAJI WA UNIT BADALA YA TSH. 350, WAUZE THS 300, ALAFU HIYO TSH 50 WAPELEKE KWENYE MAJENGO. Mwanzo mgumu wakituelimisha tutaelewa tuu. WATANZANIA NI WAPOLE SANA NENA WAUNGWA IWAPO UKIMUELEWESHA. USITUMIE NGUVU WALA UBABEKitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.
Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .
Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Umefunga mjadala.Umeelezea vizuri,mbona ipo kodi ya zuio(with holding Tax,analipa mpangaji,wanakatiana na mwenye nyumba kwenye kodi,kwa zile nyumba zenye kodi kubwa.au iwe hiv.kama kod laki mbili kwa mwez unampa mwwnye nyumba raki na themanain.180. ile 20 utaifidia kwenye property tax
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wetu wa fedha na washauri wake wana akili ya kuandika majina yao kwenye mawe tu, au sijui wanaishi sayari gani kiasi kwamba wasijue matatizo ya kudai mtu akatwe kodi ya manunuzi kwenye manunuzi ya umeme.Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.
Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .
Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Hilo halijasemwaBandugu, mi nauliza kuhusu madeni ya miaka iliyopita, ndo tumesamehewa au?
Serikali imechanganyikiwa ?Hii kodi maana yake ni kuwaangushia mzigo wapangaji. wenye nyumba siku zote watapandisha pango kufidia kodi hii
c bora ichanganyikiwe! wanagongwa..👀Serikali imechanganyikiwa ?
Vipi bado upo na mama?Umekataa pkeako sio na sisi! Utaratibu huo ni mzuri sio unapanga nyuma unaharibu jengo bila kujua gharama zake, sasa lipia a kodi ya jengo!