Bajeti: Rais Uhuru Kenyatta atenga zaidi ya Sh. Bilioni 25 kukuza kilimo cha mirungi

Bajeti: Rais Uhuru Kenyatta atenga zaidi ya Sh. Bilioni 25 kukuza kilimo cha mirungi

Let's stop this nonsense of blind patriotism. Simply because you are from Kenya or Tanzania, it doesn't mean you have to support everything that is being peddled by your government. I believe citizens have to be open minded and vigilante at times. Therefore, they have to analyze issues based on the facts and not nationalism. Studies have shown miraa to have addictive and negative effects on the human body. It's no wonder many countries in the West have outlawed them. I believe Kenya ought to borrow a leaf out of the aforementioned countries' book. The welfare of the citizen of the republic should be the number one priority and not a cheap political gain. On the other hand wananchi, have be a careful with politicians who will say and do anything to get elected.
 
Tanzania inaendelea kuwa na sheria kama za wakoloni ni hovyo kabisa hii nchi
 
Tanzania inaendelea kuwa na sheria kama za wakoloni ni hovyo kabisa hii nchi
Hamia Kenya, tuache na sheria zetu za kikoloni,
Mirungi NO, Bangi NO, Ushoga NO, Shisha NO, Viroba NO, Unga NO,
Na bado nyie mnaovuta sigara kwenye public your medicine is boiling.
 
Hamia Kenya, tuache na sheria zetu za kikoloni,
Mirungi NO, Bangi NO, Ushoga NO, Shisha NO, Viroba NO, Unga NO,
Na bado nyie mnaovuta sigara kwenye public your medicine is boiling.
Kenya hakuna MTU anavuta sigara hadharani, hakuna Mashamba ya Bangi kama Tanzania wanalima vitu vyenye tija, hawana ushamba wa shisha kama Dar es Salaam ushamba, Viroba wamepiga marufuku years back, TZ hakuna jipya
 
Hamia Kenya, tuache na sheria zetu za kikoloni,
Mirungi NO, Bangi NO, Ushoga NO, Shisha NO, Viroba NO, Unga NO,
Na bado nyie mnaovuta sigara kwenye public your medicine is boiling.
mkuu kwani huko ni saudi..😀
 
Kenya hakuna MTU anavuta sigara hadharani, hakuna Mashamba ya Bangi kama Tanzania wanalima vitu vyenye tija, hawana ushamba wa shisha kama Dar es Salaam ushamba, Viroba wamepiga marufuku years back, TZ hakuna jipya
Ndio maana nimekwambia Hamia Huko,
Mbona kichwa chako ni Kigumu kuelewa?
 
Back
Top Bottom