kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
Naomba mchanganuo mkuu hiyo laki na nusu inawezekana vipi? Kwa kuku mia moja hao?Watu wanaanza na 150,000 wewe
Ngoja wataalamu wajeNaomba mchanganuo mkuu hiyo laki na nusu inawezekana vipi? Kwa kuku mia moja hao?
Hahahahha fara wewe...Nilivyoona heading nikadhani una 1.5T. Moja kwa moja tungejua wewe ni nani
Hahaha mkuu nilianza kutafakari sasa kodi yetu inaingia mzigoni kuneemesha vifaranga wakati tuloitoa tupo hoi taabani!Hahahahha fara wewe...
Dah... biashara za aina hii ambazo hazina mipango..huwa unaanguka hata kabla hujaanza kusogea..[emoji41]Usikatishwe tamaa kwamba huwezi Anza Anza kufuga utakapo kwama utasovu.
Mwanangu hizi stol tuu rakini ukiingia field utakapo ona ngumu na mbichiDah... biashara za aina hii ambazo hazina mipango..huwa unaanguka hata kabla hujaanza kusogea..[emoji41]
Dah ..lakini angalau ujue tu.hata 80%..hata kwa kusikia tu..kwa walipita field[emoji41]Mwanangu hizi stol tuu rakini ukiingia field utakapo ona ngumu na mbichi
Nilivyoona heading nikadhani una 1.5T. Moja kwa moja tungejua wewe ni nani
Wajasiriamali habari zenu poleni na majukum ya kitaifa....Nina kiasi cha milioni moja na nusu bajeti hii naweza kuwalisha kuku na madawa mpaka watakapo anza kutaga?
Pesa ya kununua vifaranga ninayo tayari. Pia banda lipo safi kabisa pia vyombo vya kuwalishia vipo tayari nacho omba kuuliza?
Kwa kiasi hiki cha fedha milioni moja na nusu ninaweza kuwalisha na kuwahudumia madawa vifaranga wa kuku wa mayai mia moja mpaka vikaanza kutanga?