kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
Wajasiriamali habari zenu poleni na majukum ya kitaifa....Nina kiasi cha milioni moja na nusu bajeti hii naweza kuwalisha kuku na madawa mpaka watakapo anza kutaga?
Pesa ya kununua vifaranga ninayo tayari. Pia banda lipo safi kabisa pia vyombo vya kuwalishia vipo tayari nacho omba kuuliza?
Kwa kiasi hiki cha fedha milioni moja na nusu ninaweza kuwalisha na kuwahudumia madawa vifaranga wa kuku wa mayai mia moja mpaka vikaanza kutanga?
Pesa ya kununua vifaranga ninayo tayari. Pia banda lipo safi kabisa pia vyombo vya kuwalishia vipo tayari nacho omba kuuliza?
Kwa kiasi hiki cha fedha milioni moja na nusu ninaweza kuwalisha na kuwahudumia madawa vifaranga wa kuku wa mayai mia moja mpaka vikaanza kutanga?