Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

mbona walijidai kuwa eti mtikisiko wa kiuchumi hautatugusa??? Wachumi wa tz bwana. Na ndulu hana jipya lecturer huyo!!! Afadhali hata balali marehem aliweza ku-control vema fiscal and monetary policies, especially monetary policy.
wametapika wakala matapishi yao wenyewe...
 
wametapika wakala matapishi yao wenyewe...


Acha tu mkuuu, inatupa shida kama vile wataalam wa uchumi hatuna!!!?? Ngoja niwahi zangu foleni nikajumike na familia yangu. Inakatisha tamaa. Endelea kurusha yanayojiri please, hasa kwa wale ambao hawapati linki ya mediaplayer.
 
acha tu mkuuu, inatupa shida kama vile wataalam wa uchumi hatuna!!!?? Ngoja niwahi zangu foleni nikajumike na familia yangu. Inakatisha tamaa. Endelea kurusha yanayojiri please, hasa kwa wale ambao hawapati linki ya mediaplayer.
haina shaka mkuu pamoja...
 
TUJIKUMBUSHE WAKATI TUKIENDELEA
The United Republic of Tanzania located in eastern Africa
has an area of 945,050 Sq km, which includes 2,000 Sq
km from Tanzania Island-Zanzibar. Administratively, it is
divided into 26 regions (21 in Mainland and 5 in Zanzibar),
130 administrative districts (120 mainland and 10
Zanzibar).

The 2002 population and housing census showed that the
population of Tanzania increased from 23.1 million in 1988
to 34.4 million in 2002 with an average growth rate of 2.9
percent per annum. The population projections show that
Tanzania had a population of 38.3 million in 2006 and is
expected to reach 63.5 million in 2025. About 59.7 per​
cent of the people are living with less than USD 2 per day.
 
wamefulia hao hawana lolote. nakumbuka huyo Ndulu alisema Tz haitaathirika na hii economic crisis. sasa leo yako wapi?
 
Haya wajameni ameanza 2009/2010 kauli mbiu itakuwa ni kilimo kwanza
 
Anyone who would like to comment about the budget, especially on economic implications? send your views to bteditor@yahoo.com, we will publish some In Business Times.
 
Hatua za kuondoa misamaha ya kodi, kumiamrisha afya, elimu, usimamizi wa fedha, kuongoze chakula, kutafuta mikopo zaidi, kusimamia upimaji wa ardhi vijijini, kuendelea koboresha mazingira

hayo ni baadhi ya dira ya bajet hii
 
Serikali kujenga uwezo zaidi kwa serikali za miitaa ili kukusanya mapato zaidi

trilioni 3.8 ni misaada na mikopo nafuu itapatikana kutoka kwa wahisani

wahisani wataongeza misaada na kilimo kitapatiwa nyongeza kutoka wb na eu M 100/250 usd kitakuwa katika budget supplement
 
Tanzania imeaathirika na msukosuko wa uchumi hivyo itakopa kama kawa m 5,000 kutoka soko la ndani kuziba nakisi ya bajeti

na ml 57600 zitakopwa kutoka vyanzo vya ndani kwa ajili ya dhamana
 
Kima cha chini cha pension kitaongezwa

serikali itagharamia maandalizi ya kurejesha mafunzo ya jeshi la kujenga taifa
 
serikali inaahidi kuboresha ttcl, tazara, atcl
 
serikali inaanda mradi mkubwa wa kujenga nyumba za walimu nchi nzima kwa kuanzia na maeneo yenye mazingira magumu
 
Viwanda vya kusindika mazao kwa kuhusisha sekta binafsi itapewa kipaumbele kutimiza kauli mbiu ya bajeti hii ya - kilimo kwanza
 
Pesa zilizotengwa

elimu bl 1,743.9

kilimo bln 666.9

miundo mbinu 1,096.6

afya bln 663

maji bln 47.3

nishati bln 285.5

kwa ujumla ni trl 5,103,200
 
Mikopo nafuu kwa mabenki itatolewa kama alivyosema raisi jana kwa ajili ya kusadia waathirika wa credit cruch nchini
 
Mikopo kutoka serikali ya india zitatumika kununulia zana za kilimo

artumas watakopeshwa ili waweze kuendelea kuzalisha umeme lindi na mtwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…