Shilingi ya Tanzania imekuwa ikishuka thamani kila mwaka lakini hivi karibuni shilingi hii imeonekana kuporomoka na sio kushuka kwa kawaida.
Kiuchumi, kushuka kwa thamani ya shilingi ni ishara ya kutokuwa na wataalamu wenye uwezo wa kudhibiti uchumi wetu hasa bajeti. Bajeti ndio nyenzo kuu ya kudhibiti thamani ya shilingi au ndio nyenzo kuu ya kudhibiti uchumi wa nchi.
Tulimsikia Gavana wa Benki Kuu akitoa maelezo juu ya kushuka kwa thamani ya shilingi yetu ambayo ki mtizamo ni maelezo ya kweli miongoni mwa sababu nyingine lakini ni aibu kwa nchi inayotengeneza bajeti na katika kutekeleza bajeti hiyo shilingi inaporomoka.
Ni vigezo vipi mnavitumia kutengeneza bajeti kama kuitekeleza bajeti yenu tunafilisika? Bajeti hii nadhani iwe ni kipimo kwa waziri na wataalamu wake kama kweli they are serious na uchumi wetu.
Kiuchumi, kushuka kwa thamani ya shilingi ni ishara ya kutokuwa na wataalamu wenye uwezo wa kudhibiti uchumi wetu hasa bajeti. Bajeti ndio nyenzo kuu ya kudhibiti thamani ya shilingi au ndio nyenzo kuu ya kudhibiti uchumi wa nchi.
Tulimsikia Gavana wa Benki Kuu akitoa maelezo juu ya kushuka kwa thamani ya shilingi yetu ambayo ki mtizamo ni maelezo ya kweli miongoni mwa sababu nyingine lakini ni aibu kwa nchi inayotengeneza bajeti na katika kutekeleza bajeti hiyo shilingi inaporomoka.
Ni vigezo vipi mnavitumia kutengeneza bajeti kama kuitekeleza bajeti yenu tunafilisika? Bajeti hii nadhani iwe ni kipimo kwa waziri na wataalamu wake kama kweli they are serious na uchumi wetu.