Bajeti kubwa haiimaanishi kwamba ndio inaleta maendeleo. Kenya wanabandika manamba makubwa kwa sababu kwa sehemu kubwa wanatumia Expenditure-Driven budget yaani sehemu kubwa wanapanga bajeti kwa ajili ya matumizi zaidi kuliko maendeleo na kulipa madeni pia. Mpaka ninapoandika hapa Kenya inakopa zaidi ya nchi zote ukimjulisha kwa pamoja hapa Afrika mashariki ili kujazilishia bajeti yao...
Watu wanajenga fensi nyumba ya Mtumishi 1 kwa 500m/- mtaendelea wapi?. Baneni matumizi Fedha ziende kwenye maendelea ya walio wengi. Tuna chuma, Gesi, mafuta, Dhahabu, mbuga, maji nk serikali iwekeze hapo iachane na vikodi vidogo2 kwa wananchi wachovu. Kwenye akili wawekwe sehemu wavumbue vitu, Masomo ya ufundi 80% vitendo na 20% theo vifundishwe. Walisoma sayansi na kudeliver ktk Kazi zao walipwe vizuri nk. Bila hivo tutakalia "ukitaka kula lazima nawe uliwe"
Sera za nchi mbovu kama hadi karne hii matajiri mnawaita mabebari na mnataka waishi kama mashetani unategemea nini? tunahitaji matajiri waje wawekeze kwenye viwanda na vitoe ajiraUzalishaji ni Mdogo Sana Tanzania,masoko yamejaa tele huko duniani, ardhi tele,maji tele yanamwagika tu ziwani baharini bure badala ya mashambani.
Zao moja kwa parachichi yaani KILA mtu alime tza na soko hatuwezi lijaza la china.
Hebu tuonyeshe budget ya mwaka 2015 ilikuwa kiasi gani tujue kama tumeenda mbele au tulirudi nyuma?MWENDAKUZIMU AMETURUDISHA NYUMA MIAKA 10.
Kunahitajika brains and planes. Tumeachiwa mandege na brains, mlisema hana brains.Wakenya wanatuzidi utapeli na huku Sisi tumezubaa.
Mfano asilimia 80 ya watalii wetu wanapitia Kenya...
Umeona, ujamaa tumeuishi miaka 23, baada ya hapo tukaja na issue ya privatization aka ubepari kwa miaka 36 bado hatuja break through, means mwinyi 10 (ubepari), mkapa(10) ubepari, kikwete(10) ubepari, Magufuli(6 ) ubepari, Samia(4 )ubepari, lakini bado hatuna maendeleo, shida iko wapi?Miaka 36 baada ya mwalimu kung'atuka, wakipitita marais 5, bado unalia lia na Nyerere? Hii sasa ndio mindset ya zama za ujima. Kutafuta wa kumlaumu isipokuwa wewe mwenyewe.
Nyerere ana share yake ya makosa na alilisema na kulikubali. Ila kumlaumu baada ya kuwa na nafasi ya miaka 36 na marais 5 ni upumbavu mkubwa!
Utaifishaji wa magufuli haukuwa ubepari bali ujamaa. Kupiga vita matajiri, kazi za ujenzi kuwapa suma jkt au tba hizo ni sera za ujamaa huyo hakuamini ubepari kabisaUmeona, ujamaa tumeuishi miaka 23, baada ya hapo tukaja na issue ya privatization aka ubepari kwa miaka 36 bado hatuja break through, means mwinyi 10 (ubepari), mkapa(10) ubepari, kikwete(10) ubepari, Magufuli(6 ) ubepari, Samia(4 )ubepari, lakini bado hatuna maendeleo, shida iko wapi?
Lakini Magufuli huyo huyo kapokea nchi ikiwa na budget ya trillion 22 mwaka 2015 na kaipeleka hadi trillion 29 mwaka 2016na baadae trillion 34.8 mwaka 2020, mbona speed yake ni kubwa kuliko hata hao waliomtangulia? shida yetu kubwa hatujui tatizo wala hatuna Muelekeo hivyo hatuwezi kufikia malengo wala sio ujamaa wala sio ubepari.Utaifishaji wa magufuli haukuwa ubepari bali ujamaa. Kupiga vita matajiri, kazi za ujenzi kuwapa suma jkt au tba hizo ni sera za ujamaa huyo hakuamini ubepari kabisa
Ndugu hicho siyo kigezo cha kiuchumi kuongezeka tarakimu ni uwezo na nchi kujiendesha yenyewe kwenye bajeti yake sisi bajeti yetu ni tegemeziLakini Magufuli huyo huyo kapokea nchi ikiwa na budget ya trillion 23 mwaka 2015 na kaipeleka hadi trillion 27 mwaka 2016na baadae trillion 33 mwaka 2020, mbona speed yake ni kubwa kuliko hata hao waliomtangulia? shida yetu kubwa hatujui tatizo wala hatuna Muelekeo hivyo hatuwezi kufikia malengo wala sio ujamaa wala sio ubepari.
Duh unatia kinyaa kila mada lazima uitaje CHADEMA.Hii mada ni fikirishi kweli kweli kama waTanzania lazima tujiulize tunakwama wapi ?.
Ndugu hicho siyo kigezo cha kiuchumi kuongezeka tarakimu ni uwezo na nchi kujiendesha yenyewe kwenye bajeti yake sisi bajeti yetu ni tegemezi
Kamfukue mwendazake ndio karudisha nyuma nchi hii,miaka 5 imeenda bure Kenya wakapanua wigo na Uganda wanatupumulia
Sera ya chadema ni ubepari wenye kuamini uwekezaji wa mitaji,technogia, ubunifu wa sayansi na technologia na ukuzwaji wa sekta binafsi kama ingini ya uchumi , ccm wanaamini nini?
Kazi kusifia Wakenya badala ya kusifia mazuri ya Tanzania.
Chadema wakiambiwa tujenge Tanzania ya viwanda ili tuwe na uzalishaji mkubwa wanapinga.
Bila shaka hapa kwetu kama tunata kuwa na bajeti kubwa ni lazima tufanye kazi kwa bidii na maarifs,tusiwe waoga kuthubutu na kisha tulipe kodi hakika tutawazidi kenya
Umeona, ujamaa tumeuishi miaka 23, baada ya hapo tukaja na issue ya privatization aka ubepari kwa miaka 36 bado hatuja break through, means mwinyi 10 (ubepari), mkapa(10) ubepari, kikwete(10) ubepari, Magufuli(6 ) ubepari, Samia(4 )ubepari, lakini bado hatuna maendeleo, shida iko wapi?
Kinacho tuponza sisi waTz ni falsafa ya kijamaa. Ambayo chama tawala kimeikumbatia falsafa hii kwa nchi za kiafrika inanufaisha watawala wa nchi.
Nchi ya kenya hakuna ujamaa ukishwa kupambana na Maisha yako no One care about you, inawafanya wanapiga sana kazi kwa bidii na kuwa na ubunifu mwingi