Bajeti ya Kenya ni Tsh. Trilioni 78, Tanzania ni Tsh. Trilioni 34 na Uganda Tsh. Trilioni 30

Porojo hizo.. angalia kenya wanakusanya kodi kiasi gani?
 
Umesahau kuonesha kuwa sisi Tanzania wenye bajeti kidogo ndiyo tunaongoza kwa Population ya watu dhidi ya Kenya yenye bajeti kubwa!! Aisee!! Hapa Sayansi inagoma kabisa.
 
Magufuli alikua anajenga kiti cha afya kwa mil 500 hizo hizo.
 
Uzalishaji ni Mdogo Sana Tanzania,masoko yamejaa tele huko duniani, ardhi tele,maji tele yanamwagika tu ziwani baharini bure badala ya mashambani.
Zao moja kwa parachichi yaani KILA mtu alime tza na soko hatuwezi lijaza la china.
Sera za nchi mbovu kama hadi karne hii matajiri mnawaita mabebari na mnataka waishi kama mashetani unategemea nini? tunahitaji matajiri waje wawekeze kwenye viwanda na vitoe ajira
 
Wakenya wanatuzidi utapeli na huku Sisi tumezubaa.

Mfano asilimia 80 ya watalii wetu wanapitia Kenya...
Kunahitajika brains and planes. Tumeachiwa mandege na brains, mlisema hana brains.
 
Bila shaka hapa kwetu kama tunata kuwa na bajeti kubwa ni lazima tufanye kazi kwa bidii na maarifs,tusiwe waoga kuthubutu na kisha tulipe kodi hakika tutawazidi kenya
 
Umeona, ujamaa tumeuishi miaka 23, baada ya hapo tukaja na issue ya privatization aka ubepari kwa miaka 36 bado hatuja break through, means mwinyi 10 (ubepari), mkapa(10) ubepari, kikwete(10) ubepari, Magufuli(6 ) ubepari, Samia(4 )ubepari, lakini bado hatuna maendeleo, shida iko wapi?
 
Kinacho tuponza sisi waTz ni falsafa ya kijamaa. Ambayo chama tawala kimeikumbatia falsafa hii kwa nchi za kiafrika inanufaisha watawala wa nchi.
Nchi ya kenya hakuna ujamaa ukishwa kupambana na Maisha yako no One care about you, inawafanya wanapiga sana kazi kwa bidii na kuwa na ubunifu mwingi
 
Utaifishaji wa magufuli haukuwa ubepari bali ujamaa. Kupiga vita matajiri, kazi za ujenzi kuwapa suma jkt au tba hizo ni sera za ujamaa huyo hakuamini ubepari kabisa
 
Utaifishaji wa magufuli haukuwa ubepari bali ujamaa. Kupiga vita matajiri, kazi za ujenzi kuwapa suma jkt au tba hizo ni sera za ujamaa huyo hakuamini ubepari kabisa
Lakini Magufuli huyo huyo kapokea nchi ikiwa na budget ya trillion 22 mwaka 2015 na kaipeleka hadi trillion 29 mwaka 2016na baadae trillion 34.8 mwaka 2020, mbona speed yake ni kubwa kuliko hata hao waliomtangulia? shida yetu kubwa hatujui tatizo wala hatuna Muelekeo hivyo hatuwezi kufikia malengo wala sio ujamaa wala sio ubepari.
 
Ndugu hicho siyo kigezo cha kiuchumi kuongezeka tarakimu ni uwezo na nchi kujiendesha yenyewe kwenye bajeti yake sisi bajeti yetu ni tegemezi
 
Duh unatia kinyaa kila mada lazima uitaje CHADEMA.Hii mada ni fikirishi kweli kweli kama waTanzania lazima tujiulize tunakwama wapi ?.

Investment! Investment!Investment! Investment!Investment! Investment!
 
Ndugu hicho siyo kigezo cha kiuchumi kuongezeka tarakimu ni uwezo na nchi kujiendesha yenyewe kwenye bajeti yake sisi bajeti yetu ni tegemezi

kwan kenya budget yao ni independent?
 
Sera ya chadema ni ubepari wenye kuamini uwekezaji wa mitaji,technogia, ubunifu wa sayansi na technologia na ukuzwaji wa sekta binafsi kama ingini ya uchumi , ccm wanaamini nini?

ubepari utauweza? kama tu hii nusu ujamaa wa ccm mnalalamika ivi vp makampuni yakija na kupanga bei wanazotaka bila kujali maskini wenggine, mtaweza????? kenya GB 1 NI 10,000 ya tanzania na mashirika mengine yameshauliwa na competition imebaki safaricom tu tafauti na uku tanzania serikali inabalance!
 

shida ni sisi wenyewe, kwa namna moja ama ingine hii mentality ya ajira imetamalaki sana tafauti na wenzetu, cha ajabu wanataka ubepari
 

sasa kama uku ukiongeza tu bei ya bidhaa utaskia lawama kwamba kuna mwananchi maskini kijijini huo ubepari mtauwezaaaaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…