Pre GE2025 Bajeti ya Maandamano Arusha kuijenga au kuipasua CHADEMA?

Pre GE2025 Bajeti ya Maandamano Arusha kuijenga au kuipasua CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Status
Not open for further replies.
Chadema haijawahi kuwa na Bajeti ya maandamano

wewe we we we thubutu 🐒

kwa taarifa yako bila ile mihela ilochangwa kule Mwanza na tule tupesa tudogo tulikochangwa na Sauti ya WaTz ya Dr.Slaa, chairman na waandamizi kamati kuu chadema wasingeenda kujidhalilisha mwanza 🐒
 
wewe we we we thubutu 🐒

kwa taarifa yako bila ile mihela ilochangwa kule Mwanza na tule tupesa tudogo tulikochangwa na Sauti ya WaTz ya Dr.Slaa, chairman na waandamizi kamati kuu chadema wasingeenda kujidhalilisha mwanza 🐒
Mimi niliweka picha hapa wakichanga Mwanza , ile haikuwahi kuwa Bajeti ya Maandamano , achana na uzushi
 
Mimi niliweka picha hapa wakichanga Mwanza , ile haikuwahi kuwa Bajeti ya Maandamano , achana na uzushi
ilikua michango ya send off sio 🐒

ilikua ni agizo kutoka juu kwamba wasipojichanga viongoxi waandamizi hawatakanyaga ardhi ya Mwanza kwa maandramano 🐒

hata hivyo si mara ya kwanza wala si jambo geni kwa wanachama na wadau kuchangia jambo Fulani muhimu.
Ule ubabe na kujipa umuhimu Zaid nadhani ndio kasoro to me 🐒
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati wa kikao cha Tathmini cha maandalizi ya maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilichofanyika tarehe 21 February 2024 Jijini Arusha, ugomvi mkubwa uliibuka kati ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na wajumbe wa kamati ya maandalizi.

Mashuhuda wa tukio hilo wamedai chanzo cha ugomvi huo ni kitendo cha CHADEMA makao makuu kugoma kutoa fedha za bajeti ya maandamano kiasi cha TZS Milioni 160 na badala yake kuutaka uongozi wa CHADEMA Mkoa wa Arusha kuendesha harambee, jambo lililopingwa na wajumbe wengi wakihoji uhalali wa makao makuu kuzuia fedha za chama zilizotolewa na Serikali kama Ruzuku katika tukio la kitaifa.

Hoja za wajumbe zilipingwa na Ndg Godbless Lema ambaye alionyesha kuchukizwa na madai ya wajumbe na kuamua kuanza kutoa lugha ya kejeli kwa kudai wajumbe hao hawana uchungu na chama hivyo yeye ataendesha harambee kwani hawezi kusubiri huruma za makao makuu kutoa fedha kwaajili ya uratibu, jambo lililoibua hisia kuwa Ndg Lema anayo mambo ya siri anayopanga kutekeleza kupitia maandamano.

Mpaka kufikia siku ya Ijumaa, tarehe 23 Februari 2024, watu wa karibu wa Godbless Lema wamethibitisha kuwa kiongozi huyo anaendesha harambee kwa wafanyabiashara yeye mwenyewe na tayari amekusanya zaidi ya Milioni 80. Baadhi ya wajumbe wameeleza kuchukizwa na dharau iliyoonyeshwa na Lema kwa kutosikiliza hoja yao iliyojikita katika kutaka Chama kutoa fedha badala ya kuchangisha wananchi kutokana chama hicho kupokea ruzuku takribani TZS Bilioni 2.7.

Kwa sharti la kutotajwa jina, mmoja ya viongozi wa Kanda ya Kaskazini ameeleza kusikitishwa na kitendo cha viongozi wa makao makuu kutojali mambo yanayofanyika mikoani hususani linapokuja suala la kibajeti, aidha kiongozi huyo amedai kuwa wapo viongozi waliotoka mikoa mbalimbali kwaajili ya kuhamasisha maandamano ambao mpaka sasa hawajapewa stahiki zao jambo ambalo wanaona siyo la kiuungwana.
Hao jamaa wasilete ujinga. Kama atatumia 160 million kwenye maandamano then maandamano 20 tu yatatosha kumaliza Ruzuku yote. Lema yuko sahihi. Lazima wategemee michango. Hiyo 2.4 billion siyo nyingi kwa Chama kikubwa kama Chadema. Ndiyo maana CCM huwa wanaiba chaguzi ili kujiongezea kipato kupitia Ruzuku.
 
Shida yako Chadema watumie pesa za ruzuku, wasifanye harambee..

Kwani hiyo harambee wakifanya wengine wakaamua kuchangia kwa mapenzi yao, wewe usiyetaka ukagoma kuchangia kuna ubaya gani?

Kwanini uumizwe roho na pesa za walioamua kuchangia kwa mapenzi yao?

Madai yako hayana msingi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
ilikua michango ya send off sio 🐒

ilikua ni agizo kutoka juu kwamba wasipojichanga viongoxi waandamizi hawatakanyaga ardhi ya Mwanza kwa maandramano 🐒

hata hivyo si mara ya kwanza wala si jambo geni kwa wanachama na wadau kuchangia jambo Fulani muhimu.
Ule ubabe na kujipa umuhimu Zaid nadhani ndio kasoro to me 🐒
Una kijiushahidi chochote hata cha uzushi ?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati wa kikao cha Tathmini cha maandalizi ya maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilichofanyika tarehe 21 February 2024 Jijini Arusha, ugomvi mkubwa uliibuka kati ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na wajumbe wa kamati ya maandalizi.

Mashuhuda wa tukio hilo wamedai chanzo cha ugomvi huo ni kitendo cha CHADEMA makao makuu kugoma kutoa fedha za bajeti ya maandamano kiasi cha TZS Milioni 160 na badala yake kuutaka uongozi wa CHADEMA Mkoa wa Arusha kuendesha harambee, jambo lililopingwa na wajumbe wengi wakihoji uhalali wa makao makuu kuzuia fedha za chama zilizotolewa na Serikali kama Ruzuku katika tukio la kitaifa.

Hoja za wajumbe zilipingwa na Ndg Godbless Lema ambaye alionyesha kuchukizwa na madai ya wajumbe na kuamua kuanza kutoa lugha ya kejeli kwa kudai wajumbe hao hawana uchungu na chama hivyo yeye ataendesha harambee kwani hawezi kusubiri huruma za makao makuu kutoa fedha kwaajili ya uratibu, jambo lililoibua hisia kuwa Ndg Lema anayo mambo ya siri anayopanga kutekeleza kupitia maandamano.

Mpaka kufikia siku ya Ijumaa, tarehe 23 Februari 2024, watu wa karibu wa Godbless Lema wamethibitisha kuwa kiongozi huyo anaendesha harambee kwa wafanyabiashara yeye mwenyewe na tayari amekusanya zaidi ya Milioni 80. Baadhi ya wajumbe wameeleza kuchukizwa na dharau iliyoonyeshwa na Lema kwa kutosikiliza hoja yao iliyojikita katika kutaka Chama kutoa fedha badala ya kuchangisha wananchi kutokana chama hicho kupokea ruzuku takribani TZS Bilioni 2.7.

Kwa sharti la kutotajwa jina, mmoja ya viongozi wa Kanda ya Kaskazini ameeleza kusikitishwa na kitendo cha viongozi wa makao makuu kutojali mambo yanayofanyika mikoani hususani linapokuja suala la kibajeti, aidha kiongozi huyo amedai kuwa wapo viongozi waliotoka mikoa mbalimbali kwaajili ya kuhamasisha maandamano ambao mpaka sasa hawajapewa stahiki zao jambo ambalo wanaona siyo la kiuungwana.
Kubwa la mapumbafu
 
Jikite kwenye mada inayohusika tu
hii ya waandamizi kutaka kuzichapa kwaajili ya shekel si tumeshamalizana au kuna mahali bado unanificha?

ile ya udini achana nayo ni ushamba 🐒
ata ile ya eti maafisa usafirishaji wanafanya kazi ya laana 🐒

hio nayo kausha 🐒
 
Propaganda katika Nchi maskini hazijengi.
Badala ya kumwambia Maadam president apunguze safari na matumizi ya anasa ashughuliki6umeme, maji, sukari na mafuta mna baki kulia na Chadema!!!
Haya kanunueni ndege ya viongozi mpige cha juu kama ile ya mizigo. Mlio laaniwa
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati wa kikao cha Tathmini cha maandalizi ya maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilichofanyika tarehe 21 February 2024 Jijini Arusha, ugomvi mkubwa uliibuka kati ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na wajumbe wa kamati ya maandalizi.

Mashuhuda wa tukio hilo wamedai chanzo cha ugomvi huo ni kitendo cha CHADEMA makao makuu kugoma kutoa fedha za bajeti ya maandamano kiasi cha TZS Milioni 160 na badala yake kuutaka uongozi wa CHADEMA Mkoa wa Arusha kuendesha harambee, jambo lililopingwa na wajumbe wengi wakihoji uhalali wa makao makuu kuzuia fedha za chama zilizotolewa na Serikali kama Ruzuku katika tukio la kitaifa.

Hoja za wajumbe zilipingwa na Ndg Godbless Lema ambaye alionyesha kuchukizwa na madai ya wajumbe na kuamua kuanza kutoa lugha ya kejeli kwa kudai wajumbe hao hawana uchungu na chama hivyo yeye ataendesha harambee kwani hawezi kusubiri huruma za makao makuu kutoa fedha kwaajili ya uratibu, jambo lililoibua hisia kuwa Ndg Lema anayo mambo ya siri anayopanga kutekeleza kupitia maandamano.

Mpaka kufikia siku ya Ijumaa, tarehe 23 Februari 2024, watu wa karibu wa Godbless Lema wamethibitisha kuwa kiongozi huyo anaendesha harambee kwa wafanyabiashara yeye mwenyewe na tayari amekusanya zaidi ya Milioni 80. Baadhi ya wajumbe wameeleza kuchukizwa na dharau iliyoonyeshwa na Lema kwa kutosikiliza hoja yao iliyojikita katika kutaka Chama kutoa fedha badala ya kuchangisha wananchi kutokana chama hicho kupokea ruzuku takribani TZS Bilioni 2.7.

Kwa sharti la kutotajwa jina, mmoja ya viongozi wa Kanda ya Kaskazini ameeleza kusikitishwa na kitendo cha viongozi wa makao makuu kutojali mambo yanayofanyika mikoani hususani linapokuja suala la kibajeti, aidha kiongozi huyo amedai kuwa wapo viongozi waliotoka mikoa mbalimbali kwaajili ya kuhamasisha maandamano ambao mpaka sasa hawajapewa stahiki zao jambo ambalo wanaona siyo la kiuungwana.
Mnaumia mkiwa wapi?

Vipi Mwenezi kashapigwa Stop na wahuni wa ccm?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom