Linapokuja suala la kusikiliza music system aisee tusidanganyane hakuna kuhitaji Mziki mdogo sijui wakatikati labda Kama unalenga upande wa sauti(volume) lakini suala la Mziki ni mtambuka Yani hakuna asiependa kusikia sound nzuri (deep bass, quality sorrounding n k) hivyo msikilizaji anatamani asikie kilakitu kilichotengenezwa studio na producer, Sasa hapo shida NDIPO inapoanza maana kusikia kila kitu ni garama, Mziki unabebwa na sauti ya chini (lower herts/Hz) ambazo ni bass inayoanzia hz15 Hadi Hz60 , Sasa garama inakuwa kubwa kupata speaker(subwoofer) inayokokotoa kuanzia Hz15/20-50 kadri Hz zinapokua chache NDIPO iyo Bei ya speaker inapokuwa juu
Sasa najalibu kucheza na mtoa post kuwa hapo anahofia bajeti yake tu sio kweli kuwa haitaji Mziki Quality😁
Njia fupi nunua subwoofer yenye watts kuanzia 400rms Hadi 700 hii Ni kwa NCHI 12" (size ya iyo spk) nunua mbili Kisha mtafute fundi box aziweke box moja.
Nunua amplifier kulingana na Spk zako mfano Kama umenunua Pioneer mbili zenye 400rms watts basi nunua amplifier yenye KUTOA kila channel 400watts mfano Kama amplifier Ina 1600watts ikiwa ni 4channel basi kila channel inatoa 400watts .
Nunua Pre-amp(equalizer) hii nikuchakata mgawanyo wa mfumo wa Mziki Yani sub bass, bass, mid, mid hi na super hi(nunua ya band7(Sana)
PATA redio(head unit) nzuri yenye chaguo(option ) za kisasa Kama flash, memory, Bluetooth, n. K.
Mtafute fundi MZURI akupe ushauri kabla ya vyote,