Zanaco
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 1,611
- 1,590
Kwamaxingira haya kila mtu ajiwakilishe kule bungeni sio wawakilishe wetuHata kujaribu kunyoosha mkono wa kuikataa linaweza kuwa kosa la jinai, na yawezekana mshahara/ posho ya mwezi huu asilipwe akilalamika watamwambia wewe siuliipinga bajeti sasa unataka hela itoke wapi.