Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
yaani mnamponda mtz mwenzenu sababu ya kusema ukweli? 😀😀😀 jamaa kaleta tu data...hamna chochote alichokisema bada ya hapo..mbona mmpanic?Halafu ukija huku basi jibidiishe kidogo, usikurupuke namna hiyo hadi tunakuona kama kijana wa kidato cha tatu.
Jaribu kushirikisha ubongo unapofungua nyuzi kama hizi,.