mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Naomba kumjua muhasibu wa utopolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulitaka wawalipe kiasi gani? Nyie wamama mngebaki kwenye VICOBA tu huku mnajitia aibu.Waongo wanalipa wachezaji wa tz laki 40000 aibu zao
Ni OKW BOBAN SUNZUNaomba kumjua muhasibu wa utopolo
Mm sijamuelewa kwanza hiyo laki 40000 ndio shilingi ngapi😁Sasa ulitaka wawalipe kiasi gani? Nyie wamama mngebaki kwenye VICOBA tu huku mnajitia aibu.
Walipwe kama alivyokuwa anahitaji Fei TotoSasa ulitaka wawalipe kiasi gani? Nyie wamama mngebaki kwenye VICOBA tu huku mnajitia aibu.
Vizuri. Tuendelee kupigwa wote.haku a aliye salama.sio simba wala utopolo. Nioneshe mkataba wa yanga na gsm
Mnapigwa kwenye nini hasa?Vizuri. Tuendelee kupigwa wote.haku a aliye salama.sio simba wala utopolo. Nioneshe mkataba wa yanga na gsm
We unalipwa shilingi ngapi hapo kwa dada yako?Walipwe kama alivyokuwa anahitaji Fei Toto
Gsm na mo wanaangalia maslahi yao.wanafaidika zaidi kuliko timu zenyewe.ndo maana hata mikataba yao imekaa kiujanja ujanja.gsm hana mkataba na utopolo. Wanaendeshana kishikaji tu.Mnapigwa kwenye nini hasa?
Nalipwa na serikaliWe unalipwa shilingi ngapi hapo kwa dada yako?
Hivi kwa bajeti hii kuna ujenzi wa kiwanja kweli?!Yani hii Yanga imezidi tambo sana wanatumia upepo mbaya wa Simba kucheza na akili za mashabiki wao ila niwaambie kitu
SISI PEOPLE TUTAKUTANA
Asiponunuliwa ajiuze..!!
9m$ .Mbona ni kidogo sana, hizo si kama US Dollars million 17 tu. Linganisha na timu inazotaka kushindana nazo, Al Ahli ni US Dollars million 88. Takriban Shillingi billioni 237.
Hiyo ni zaidi ya asilimia 500 ya bajeti ya Yanga.
Sasa ndiyo umeandika nini hapa! Laki 40000 ndiyo shilingi ngapi? Hii kitu haiko poa hata kidogo. Inaonekana wewe ni binti mrembo uliyekimbia umande.Waongo wanalipa wachezaji wa tz laki 40000 aibu zao
Kama billion 24 ni "kama usd million 17" basi naomba tukumbushane vipaumbele vya Lowasa.Mbona ni kidogo sana, hizo si kama US Dollars million 17 tu. Linganisha na timu inazotaka kushindana nazo, Al Ahli ni US Dollars million 88. Takriban Shillingi billioni 237.
Hiyo ni zaidi ya asilimia 500 ya bajeti ya Yanga.
Swali fikirishi he ni kweli MO anatoa bilioni 5 kila mwakaUlitaka club isiwe na bajet au? Alafu hiyo mbona Hela ndogo sana.
Kama billion 24 ni "kama usd million 17" basi naomba tukumbushane vipaumbele vya Lowasa.
Kama billion 24 ni "kama usd million 17" basi naomba tukumbushane vipaumbele vya Lowasa.
Kama billion 24 ni "kama usd million 17" basi naomba tukumbushane vipaumbele vya Lowasa.
Alikuwa mweka hazina wa Yanga?Kama billion 24 ni "kama usd million 17" basi naomba tukumbushane vipaumbele vya Lowasa.
Kwa ambao hawajazifuatilia simba na yanga angalau kwa miaka 15 iliyopita wataisifia sana yanga. Lakini ukweli ni kwamba yanga hakuna cha maana, kwa sasa viongozi wanajificha nyuma ya mafanikio haya yanayopatikana. Siku yakikoma na mazingira ya kisiasa yakawa hayako upande wao ndo mtajua kwamba simba na yanga ni mashamba ya bibi tu.Yani hii Yanga imezidi tambo sana wanatumia upepo mbaya wa Simba kucheza na akili za mashabiki wao ila niwaambie kitu
SISI PEOPLE TUTAKUTANA