Bajeti za Afrika Mashariki

Burundi na Congo nao?. Au wao sio East Africa? Halafu hio ya Tanzania ni ya Tanganyika. Zanzibar wana yao😂
 
Enzi za Raisi Uhuru Kenya ndio mlikua na Budget kubwa yani ilikua unajumlisha ya Tz ug na Rwanda na chenchi inabaki...nashangaa sahivi gape lina zidi kupungua ,iyo Budget ya Tz miaka mitatu mbele itakua imshawakaribia kabisa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 

Tuta... huu wimbo duh...
 

Huge tentative budget kwa ground Nothing to show, a typical cundustan madness . Hapo dola bilioni ngapi zinatakiwa kutoka Jamhuri ya Uchina?
 
Huge tentative budget kwa ground Nothing to show, a typical cundustan madness . Hapo dola bilioni ngapi zinatakiwa kutoka Jamhuri ya Uchina?

Eti bandari imefanyaje sheikh...
 
Tunajadili bajeti yenu hewa unahamia kwenye bandari

Halafu sikujua udini umekolea kiasi hicho, yaani unamskliza mlalahoi anavyojadili hoja na kukubali bandari ichukuliwe kisa ameshikiliwa akili kidini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…