Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shaka ondoa bwashee!wawaangalie na watumishi wa umma mwaka huu jamani
Maendeleo tuliyoyafikia mwenye macho haambiwi tazama!Wazee wa ndio
Ni maigizo tu, bajeti ya sasa anapanga mtu mmoja! Bajeti isiyofuatwa ni ya nini? Idd Amin aliendesha nchi kama hapa bila bunge, na ndivyo tulivyo!!Wadau leo ni siku ya kutangazwa bajeti ya nchi za Afrika mashariki.
Hapa Tanzania matangazo ya bajeti yatarushwa mubashara katika local tv zote ikiwemo hapa Jf.
Usipitwe
Up dates;
Maendeleo hayana vyama!
Hujui umuhimu wa Bajeti? Wahindi Bajeti ikisomwa hukaa na wataalamu wao kusikiliza mwanzo mwisho kuangalia Kuna fursa gani ya kibiashara ndani ya Bajeti wanaacha kazi zao zote kusikiliza BajetiHuna kazi ya kufanya?
Hiyo sio budget ni uchafu, fanya kazi achakupoteza muda kujadili uwongooHujui umuhimu wa Bajeti? Wahindi Bajeti ikisomwa hukaa na wataalamu wao kusikiliza mwanzo mwisho kuangalia Kuna fursa gani ya kibiashara ndani ya Bajeti wanaacha kazi zao zote kusikiliza Bajeti
Mfano Bajeti ikisema mkazo utakuwa kuhakikisha pembejei zinapatikana kwa wingi kesho anaenda sajili kampuni ya pembejeo tayari kwa kupiga pesa
Kwani wewe una kazi gani ya maana Ni kibarua serikalini au sekta binafsi?
Hiyo sio budget ni uchafu, fanya kazi achakupoteza muda kujadili uwongooHujui umuhimu wa Bajeti? Wahindi Bajeti ikisomwa hukaa na wataalamu wao kusikiliza mwanzo mwisho kuangalia Kuna fursa gani ya kibiashara ndani ya Bajeti wanaacha kazi zao zote kusikiliza Bajeti
Mfano Bajeti ikisema mkazo utakuwa kuhakikisha pembejei zinapatikana kwa wingi kesho anaenda sajili kampuni ya pembejeo tayari kwa kupiga pesa
Kwani wewe una kazi gani ya maana Ni kibarua serikalini au sekta binafsi?
Afu mnajua matajiri hudaiwa zaidi kuliko wa kawaidaDeni la taifa la Kenya lafikia dola bilioni 72 Tanzania Deni la taifa lafikia dola 26 bilioni
akiongeza mishahara atakuwa ametisha sana mzee babaShaka ondoa bwashee!
Hujui umuhimu wa Bajeti? Wahindi Bajeti ikisomwa hukaa na wataalamu wao kusikiliza mwanzo mwisho kuangalia Kuna fursa gani ya kibiashara ndani ya Bajeti wanaacha kazi zao zote kusikiliza Bajeti
Mfano Bajeti ikisema mkazo utakuwa kuhakikisha pembejei zinapatikana kwa wingi kesho anaenda sajili kampuni ya pembejeo tayari kwa kupiga pesa
Kwani wewe una kazi gani ya maana Ni kibarua serikalini au sekta binafsi?