Mkuu,<br />
<br />
Question utendaji usiquestion umri wako hayo ni majungu tu na vijiba vya roho na husda. Kama angelikuwa mwapachu mzee na hakuwa kiongozi mzuri mwenye mawazo yatakayoleta mabadiliko yeyote ningelikubaliana na wewe. Ila kama huna cha kuqestion performance yake na ufanisi wake kazini basi hayo ni majungu.<br />
<br />
Bakari Mwapachu is the best CEO by performance ATC tangu kuundwa kwake. Mafisadi ndio waliomtoa pale kwani alikuwa akiwabania wao na wasaidizi wao waliokuja na kampuni zao kihindi za uchwara kuja ati kusaidia kuboresha ufanisi kumbe ni mirija ya ufisadi. Kama huna points za kuuliza utendaji wake tafadhali kaa kimya kwani hamuifahamu ATC ilivyokuwa na inaelekea labda umetumwa kuanzisha thread ya kumchafua mzee wa watu. Ukitaka kumfahamu huyu mzee kaulize wazee waliokuwa wamefanya naye kazi kuanzia subordinates wake ofisini pale ATC mpaka dereva wake watakuambia alikuwa mtu wa aina gani. Nimewauliza ni CEO gani wa ATC aliyewahi kununua ndege mpya kwa fedha za kampuni, kujenga nyumba za kwa ajili ya staff wake kule Masaki, Oysterbay, Mwenge, Mikocheni , Msasani, Mwananyamala. Nyumba hizi wamejenga kwa fedha za shirika pasina mkono wa serikali hata senti tano. <br />
<br />
Would you rather select a bogus Chairman au a chairman who had a good track record during the time he was as an employee of the corporation? Acheni majungu nyie hamuijui ATC Bakari Mwapachu was a best CEO ATC by performance kuliko hao wengine waliomfuatia.