Bakari Mwapachu anyemelea uenyekiti bodi ya ATCL

<br />
<br />
Habari za ulaji na upenda mabibi inamhusu Bakari waulize waliofanya kazi RTC kiwa BIT mkuu


Kinyamana, you have hit the nail on the head; ulaji wake na ufuska sio BIT tu kote alikopita; Mdondoaji ataita ni majungu lakini sio hivyo ukweli juu ya huyu bwana ndio huo.!! Hawa ndio aina ya wastaafu wakipewa madaraka wanashinda ofisini kuwasumbua watendaji kwani hawana kazi nyingine za kufanya!! Kumbukeni mambo ya mahujaji kulala airport wiki nzima yalioikumba ATCL yalisababishwa na nani? Bakari cannot be an exceptional bored mstaafu, I rest my case.
 

Kipindi cha mwapachu hakuna hata siku moja kulikuwa na kesi ya mahujaji kukwama acheni uongo. Mambo hayo yalianzia kwa Sanare na kuzidi kipindi Ole kambaine. Endeleeni na majungu yenu ila hamna vya kumpinga huyu jamaa he deserve the seat kwasababu rekodi yake pale ATC was eloquent and exemplary. Hakuna anayeweza kumfikia hata mmoja mnabakia kuleta biashara za majungu tu
 

Mdondoaji ni vizuri ukaelewa mabandiko kabla ya kujibu. Hamna mtu aliyesema mahujaji walikwama airport enzi ya ATC!! kilichoelezwa ni kwamba mahujaji walikwama kwenda kuhiji Mecca pale Julius Nyerere international Airport kwsababu mwanasiasa mzee mstaafu aliyekuwa mwenyekiti wa board ya ATCL aliingilia kazi ya watendaji na kusababisha adha kubwa kwa mahujaji na hasara kwa Taifa. Mambo kama haya yanaweza kujirudia kwani huyu Bakari Mwapachu ni mwanasiasa mwingine mzee mstaafu ambae kwasasa hana kazi baada ya kukataliwa na wananchi wa Tanga mjini kuwa sio mtu wa maendeleo. Hii ni tahadhali tunayoitoa kwa appointing authorites ilil wasije wakarudia kufanya makosa; waswahili wanasema KUFANYA KOSA SI KOSA, KOSA KURUDIA KOSA!! Kulifufua shirika la ndege wakati huu you need energetic and visionary aviation leadership of which Bakari does not possess.
 
<br />
<br />
Acha kutumia elimu yako kwa nguvu ili kudanganya umma wa watanzania. Huyu kama alifanikiwa ni kwa vile alikuwa chini ya raisi ambaye hakuwa na masikhara kwenye kazi zake. Kwa huyu JK ambaye ameajiri hata kina Riz 1 kuendesha nchi bila vyeo maalimu huu utakuwa ni mfereji tu wa kukusanya pesa za next election. I am trying to add up things na nitakuja na mchoro mzima hapa! Mwapachu haendi kufanya kazi pale, ni kuchota tu, poor old bud!
 

Haya maneno yanatisha na mazito kama ndio nia na malengo yake ndio hayo basi atajiharibia kwa baadhi yetu tunaomuangalia kama alikuwa CEO mahiri alipokuwa pale ATC. I hope he thinks twice about that but I still give him a benefit of doubt he deserve that post. Tunakusubiria mkuu utumwagie madata hapa.
 

Bakari does not have to think twice because he is seeking the appointment, the people who are supposed to put the national interests ahead of personal interests are the appointing authorities!! But they have been warned; na waziri Nundu awe tayari kwa kibano toka kwa wabunge wa mikoa ta Kigoma, Tabora na Mtwara kwani adha ya usafiri itakuwa mbaya zaidi!! Mdondoaji is doing a great disservice to this old man by asking for his dirty linen to be washed in public!! Hawa wazee wa toka enzi ya ujamaa wana maloloso mengi sana kabatini mwao, yasije yakamwagwa hapa wakapata ugonjwa wa moyo bure; watu tukashitakiwa for cybermurder!! Unakumbuka account za Chenge zilivyoanikwa hapa, usicheze na JF ni moto wa kuotea mbali!!
 

Mkuu,

Tunazisubiria data mkuu usihofie kivuli chako mkuu we deserve to know as it is a matter of national interest kwani ufisadi umekuwa janga la kitaifa sasa. Mie mwapachu namjua kama alikuwa CEO mzuri alipokuwa pale ATC tena ndie the best CEO aliyeperform vizuri kushinda MaCEO wote waliowahi kuongoza shirika lile sasa wewe lete madata mkuu.
 

Ujasiri JK anao wa kumpa, kwani alipompa Mataka U-managing Director hakujua kama ni makosa. Mkuu ulitakiwa kusema hudhani kama JK atakuwa na ujasiri wa kumpa mtu mwingine zaidi ya Mwapachu kama kweli Mwapachu anautaka wenyekiti wa bodi
 

wewee tafuta data acha kusema nafikiri kama Pinda. Hutakiwa hujaji kwa kufikiri-gut feeling utachemsha na kuchekwa, ukiwa na data za CEO wote walivyo-perform then you can judge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…