Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
For the first time I have looked at this map closely. All I can say is, how, oh how, my beloved Kenya do you always fill my heart with pride and love for you with such ease.meanwhile other tanzanians hali ndio hii
Ajabu kuu!Sasa hayo magari yanawasaidia nini nyie wadanganyika?
Huyo muarabu anawapa nini sasa
Open up your mind wewe boya, hakuna uhusiano wa dini na mafanikioShikamoo Alhaji SS Bakhressa mchango wako unaonekana si Tanzania bali Barani na DunianI.
**kuna uhusiano gani kati ya UTAJIRI na Uislam? Eg. Aliko Dangote, Mo Ibrahim, Mohammed Dewji n.k?
waislamu ndiyo matajiri tangu karne ya 18,na ndiyo wafanya biasharaOpen up your mind wewe boya, hakuna uhusiano wa dini na mafanikio
Nenda china , India wanaabudu ng'ombe, kuna siri kuu tatu acha uboya
1. Piga kazi
2. Piga kazi
3. Piga kazi
,
UtumwaShikamoo Alhaji SS Bakhressa mchango wako unaonekana si Tanzania bali Barani na DunianI.
**kuna uhusiano gani kati ya UTAJIRI na Uislam? Eg. Aliko Dangote, Mo Ibrahim, Mohammed Dewji n.k?
Asante Boya mwenzangu. Ni ukweli mtupu Waislam ni watu waaminifu na wachapakaz kwenye biashara. Tofaut na ndugu zetu Wagala eg. Mzinzi wa MikocheniOpen up your mind wewe boya, hakuna uhusiano wa dini na mafanikio
Nenda china , India wanaabudu ng'ombe, kuna siri kuu tatu acha uboya
1. Piga kazi
2. Piga kazi
3. Piga kazi
,
Unalazimisha wazo lako mkuu ? Nimekwambia India watu wanaabudu Ng'ombe na ni matajiri wa kufa mtuwaislamu ndiyo matajiri tangu karne ya 18,na ndiyo wafanya biashara
Presumably amelipa kodi inayojenga barabara unazotumia.Sasa hayo magari yanawasaidia nini nyie wadanganyika?
Huyo muarabu anawapa nini sasa
Wakristo wangapi wameanza huo ubaguzi?Wakristo wameshaanza ubaguzi kumuita Bakhressa mwarabu,waislam wanapigwa vita sana,angekuwa mkristo hapo ingekuwa kwatuuuu.
Mengi anaongrlewa na wala hapigwi mawe nna waislamu,muna roho kama za mashetani wenzenu ISRAEL.
Pengine tumefocus zaidi kwenye kupunguza deni la taifa.meanwhile other tanzanians hali ndio hii