Hakuna siku serikali ililazimishwa kuuza NMC au mitambo yake, kilichotokea ni serikali kuamua kuuza kwa kushindwa kuiendesha. Alinunua NMC (mzizima) na akajaribu kununua NMC (kurasini) lakini alishindwa kwa njia ya tender na aliyeshinda ni mohamed enterprises.
Kuhusu mavi ukiyachokonoa yatanuka! na mimi ningependa uendelee kuyachokonoa kwa sababu unaweza ukaja na kitu kipya kwangu ambacho sikijui kuhusu Bakhresa na kikawa ni kweli, kitasaidia kwenye vita dhidi ya ufisadi. ni muhimu kuwa na refrence ya mafisadi wa zamani ili huko tuendako yasitokee tena
Thanks
Ni kweli serikali haikulazimishwa kuuza mitambo ya NMC, lakini Viongozi wenye dhamana ya kutoa maamuzi serikalini wakishirikiana na Wafanya biashara wakubwa walijenga mazingira ya kuia NMC na kuhakikisha kwamba katika zoezi la kufa kwake wanashibisha matumbo yao yasiyoshiba kama malori ya taka.
Kwamba serikali iliuza NMC kwa tenda si hoja ya msingi ya kuzuia Bharessa kucheza mchezo mchafu.
Kushindwa kununua mtambo wa pili ni kuzidiwa kete na Fisadi jingine kuliko kwamba alizidiwa na usafi wa kimaadili.
Waliifanyia hivyo GAPEX,
NBC ndo usiseme waliinyonga kwanza ife ndipo wakauza kwa bei ya njugu.
TTCL iliyo mishipaya ya fahamu ya taifa iliuzwa kwa bei sawa na kusomesha vijana kama 1000 huko UK.
Nyumba ya kifahari ya Semensi kule Kimara ilijengwa kwa fedha za MH Bhaharesa kashfa hiyo ilitolewa na Gazeti moja lililo milikiwa Mnyamwezi mmoja alokuwa akimiriki kampuni ya Bandari Interprise somebody Immanuel au Salehe sijui gazeti hilo bado linatolewa?
uchache alotia mfukoni ili anyooshe mambo haujulikani ulikuwa Tshs ngapi.
Huyo Mohamed Interprise ndo usiseme ni Jasusi wa Ibilisi muuaji mkubwa.
Ushahidi wa kimazingira ulionyesha kwamba kwa namna moja au nyingine alihusika kuua mashahidi wakuu waliowatumishi wa Maabara kuu ya Taifa katika kesi ya kulisha watanzania maandazi na chapati zitokanazo na unga wenye uvundo usiofaa hata kuliwa na hyawani.
Hivi watu wanadhani wote tuna vichwa vya karoti tumesha sahau????!!?
Wanahonga serikalini li wanunue ngano liyovunda na kuwa condemed kutoka India na kuiacha ngano safi kutoka Hang na kwingineko kule Arusha ili wapate faida ya kukata kwa nyengo na kutuacha sisi WaTZ tukiuugua kansa ya makoo na matumbo kwa kula uchafu uzaao faida nono kwao.
Ni upuuzi mkubwa kudhani Bhaharessa ni msafi tu kwa vile jina lake halimo kati ya Mfisadi wa hivi karibuni.
Njama nzima ya kuua NMC na madhumuni yake ya muda mrefu ni kuhakikisha Wafakiri wote( Watanzania) wanaendelea kununua mazao yote ya Unga yatokanayo na chochote kiagizwacho na Mohamed Inter na Azamu bila kuleta kelele mapepe na makeke.
Kama Binadamu inawezekana hawapendi kutulisha ngano ilopigwa laana huko ughaibuni,
lakini, kwa Choyo yao Izidiyo choyo ya Fisi mchoyo kuliko wote. Watu hawa hawajali kabisaaaa kama Watanzania mnakula unga utokanao na Mashonde ya Binadamu au vimelea vya magonjwa.